Malcolm X5
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 1,639
- 2,752
Wamewasilisha Barua Ya Maombi Ofisini Kwa Waziri Wa Habari, Utamaduni, Utalii Na Michezo
Wa Serikali Ya Mapinduzi Ya Zanzibar, Kuomba Ridhaa Ya Kuutumia Uwanja Wa Aman Uliopo Mjini Unguja.
Nadhani hii ni kukomoana na taasisi za michezo,yanga kwa uwanja wa aman,na uwezo wa kujaza watu vile,mapato na kila kitu,nape abaki na kiwanja chake..