CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,858
- 687
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni ambaye pia ni Waziri Mkuu kivuli, Mhe. F.A. Mbowe akiwa ameshikilia "JAGI" la Kagame

Spika wa Bunge, Mhe. A. Makinda akiwakubali vijana wa kazi wa Jangwani

Waziri Mkuu, Mhe. M.K.P. Pinda akiamurisha askari wa kutoa heshima ili waanze kuwapigia Mizinga ya Ushujaa Mabingwa Yanga

Mabingwa ktk Pozi Mjengoni Dodoma

Kweli kabisa, bado Ngao ya Hisani, Asamoah kama kawa, The only One Kaseja hachomoi vichwa
Sasa wewe Ngassa, kwani Fagason kasema anakutaka???
