Mabint na masharobaro!!!!

Haya Mkuu!...I hope hutampa assignment ya kukutafutia vipodozi! hahahahahah lol! (I am just joking Kaizer) 🙂

hahah mkuu BAK after all leo ni TGIF, ila on a serious note huyo dogo ana kazi nzito sana ya kufanya

baada ya yale ya Straus-Khan hakuna mtu anataka kutake things for granted......u knw what I mean...LOL
 
Reactions: BAK

Babaake Dully sykes Ni sharo kishenzi watoto itakuaje.
 

Mhhh! Asha! hii kali! Ubarobaro kuanzia Babu! halafu Baba...mtoto ni lazima awe sharobaro! shurti aoge na kubadilisha nguo mara sita kwa siku na kujimwagia vipodozi mara hizo hizo sita kwa siku....mhhhhhh!

YouTube - ‪Ke$ha - We R Who We R‬‏
 
Babu nina uhakika wengi huwa wanaoga tena zaidi yaidi ya mara 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…