The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Kloro ataiba mashairi yangu akawaimbie maduu wa kitaani kwakehebu fanya kolabo na kloro. Nataka niwapeleke studio kwa pa1
Mimi navutia kwako tu kwa wengi tinted kwako full mapoudaunavutia sana hadi naogopa.lol
abiria chunga mzigo wako. Atakayekunyemelea nitampa makonzi ya mbavu.Mimi navutia kwako tu kwa wengi tinted kwako full mapouda
Babaake Dully sykes Ni sharo kishenzi watoto itakuaje.
Kumbe wewe ni :boxing::boxing::boxing::boxing😛ia ngoja nikae mkao wa kulaabiria chunga mzigo wako. Atakayekunyemelea nitampa makonzi ya mbavu.
Kumbe wewe ni :boxing::boxing::boxing::boxing😛ia ngoja nikae mkao wa kula
Ah ah ah, bila kusahau mashati na dingrizi za kubana, tulikuwa tunaziita suruwali za mdomo wa chupa, kichwani wamenyoa panki au mtindo wa sharamaa.... uku mabrazemeni wao na bugaruu/tinabuu na raizoni... ah ah ah.Hahahahaha macheckbob walikuwa wanajipenda sana iliingia fashion mpaka ya kuvaa mocassin nyeupe tena bila soksi (ukivaa soksi ulikuwa unaonekana wa kuja!)...halafu na miondoko ya ajabu ajabu hahahahahah lol! Wabongo bwana matata sana!
hivi sharobaro ni nani?
vp ulimpata Asha D jana? Naona kaibuka leo aisee
vp ulimpata Asha D jana? Naona kaibuka leo aisee