Asante kwa kutonipa msaada... na usiku mwema.. Sikuja hapa kufundisha ila kuhitaji msaada... .. hooooooooooo
Kaaazi kweli kweli!!
Ukija na madai uwe na uthibitisho wa madai yako.Na kama huna/huwezi kutetea madai yako ni vizuri ukauliza badala ya kueleza kitu ambacho hata wewe mwenyewe hujui!!
Na kama unataka msaada uwe tayari kuwaelewesha wale unaohitaji msaada wao ili wasikurupuke tu kujibu...badala ya wewe kukasirika kwa vidole!
hatuwezi kwasababu... twategemea ninyi mwatueleza nini From the very first tym... You know what I mean.. ur cycle!!!!!
dada ni nini hasa ambacho wewe huelewi nakimaanisha????????? nakushangaa.. badala kurahisha mada ..waigumisha
Mtoto nae anapotelekezwa ni kwa kosa la nani?!
Hiyo mimba inategeshwa vipi mpaka mwanaume ajione hakua responsible kwenye kuitunga?!
Mwisho kabisa...hivi uanaume ni kutembea na yeyote anaekuchekea?!
Data unanishangaza kidogo,kwa nini ulaumu wanawake tu.na kama mwanamme hataki mimba,atumie condom.na kwa nini umetumia neno la kuongezeka watoto wa mitaani?mtoto anaweza kulelewa na mama peke yake na akaishi bila ya matatizo yoyote yale.mfano mkubwa ni mimi,nimelelewa na mama tu,kwa sasa na mimi nimekuwa na huna vya kuniambia kwa mama yangu.she is everything to me
<br />dada ni nini hasa ambacho wewe huelewi nakimaanisha????????? nakushangaa.. badala kurahisha mada ..waigumisha
Kama ungeweza kujibu maswali yangu tungekua kwenye ukurasa mmoja.
Kupata mimba kunatokana na tendo kati ya mwanamke. na mwanaume...na kama inahitaji watu wawili kufanikisha hilo jambo basi wote wawili ni responsible.Acha visingizio sijui wa "kajibebesha"...kwani ulishikiwa mtutu?!Hukua na akili timamu kwa wakati huo?!Hukua na maamuzi ya either ufanye au usifanye...uwe mwangalifu au usiwe?!
<br />
<br />
Mfafanulie aelewe, yaelekea uliyo yaandika hayajamtosheleza kuweza kukubaliana na hoja yako. Hebu mfafanulie kwa undani ili aweze kukubwa ushauri wa kina, usiwe mwepesi wa kukata tamaa ama kukasilika, ni kawaida sana! Mfafanulie mwenzie kwa undani zaidi unataka msaada gani!
<br />I think I need privacy na yeye....!!!!!!!?????
<br />You are never smart out of us (MEN)...but you know what to get what u wish from us...
hujawahi kutana na wenzako wanatabia ya hili nililolileta hapa jukwaani.. na ukawashauri kwa uchungu lakini bado hawakukuelewa.... mpaka wakabeba mimba.. kama wapo kawaulize .. how they did it?