]Walaumiwe wote,[/COLOR] wote wanasex bila kinga unategemea itoke friji? halafu mwanaume gani ategewe mimba?kwanini usisitize kutumia kinga hata kama mwanadada anakuwa anafahamu vizuri mzunguko wake?
Kwanini ulizimishwe kumuoa mtu kisa kabeba mimba? huna maamuzi yako? ina maana hata kama hujampenda utamuoa tu hivyohivyo?!!!
Walaumiwe wote, wote wanasex bila kinga unategemea itoke friji? halafu mwanaume gani ategewe mimba?kwanini usisitize kutumia kinga hata kama mwanadada anakuwa anafahamu vizuri mzunguko wake?
Kwanini ulizimishwe kumuoa mtu kisa kabeba mimba? huna maamuzi yako? ina maana hata kama hujampenda utamuoa tu hivyohivyo?!!!
asante sana.. Wewe umekua wa msaada mkubwa saana.. Ktk maisha ya kileo mabinti wengi tena wasomi.. Utawaskia wakisema.. "mie nashida na mtoto 2 bas..kufungwa ctak mie".. Sasa uwa najiuliza hyo mtoto atampataje pataje.. Ndo inakuja hiyo ishu..!