Kweli hujakosea wana vimiguu vyembambaaaaaa halafu na makalio kama ya kihindi wengi sana wapo ivo wala wasibishe kama wapo wenye guu la bia basi mojakwa kumi na kama wapo wenye kalioz basi nao ni moja ya kumi.
Tupe basi na stori za mawifi zako wa kisukuma.... nao vipi, wanafaa?
Na ndio sifa za wanawake wa kichaga hzo..leo ntakupinga bro....huo usemi wako ni mzuri lakini umeharibu ulipoweka nen chaga woman... binti yeyote mwenye mawazo chanya mcha Mungu mbunifu mwenye upendo wa dhati mwenye utayari mwenye kuthubutu mwenye kiasi hakika huyu atakufanya uishi kwa upendo na mafanikio makubwa na uzee wako hautakuwa wa manungu'niko.........na haijalishi kabila mkuu wangu.......
MORIA umeandika pumba hazina fahda kama magunzi ya mahind hata kuku awezi kula.wewe ukiowa mke unataka akazikwe kwao kaziii kwel kwel.uwo mfumo mang unaousema sijapata usikia jf bana mara wanawake wa kichaga wanatesa waume zao,mara wanamiguu membamba .vifua vipana ,makalio ya kihindi ..KUMBUKA MTI WENYE MATUNDA NDIO UTUPIWAO MAWE NA KILA M2 WATOTO KWA WAKUBWA.mi namshukuru mungu dada zangu watatu nishakula mahari na mimi nitarudi kuchukua wa hukohuko mgombani.Kwa nionavyo mimi wapo wachaga wazuri na ushahidi wengi hushika namba za juu ktk miss tz...ila 80's (sina uhakika siku hizi) kurudi nyuma mtoto wa kike uchagani alikuwa hana sehemu (kutengwa) hawezi milki ardhi na ilifika sehemu hata kuzikwa wanazikwa upande wa mume...na imani hata leo kuna bintis wa huko mgombani wanakumbana na vipigo/manyanyaso kutoka mfumo mangi na hivyo wengi kukataa kuolewa tena umangini na kwenda 'chasaka' kutafuta upendo- fidia.....sasa wewe msukuma 'mami' ole wako ukutane na muathirika huyu wa mfumo mangi utapelekwa kama gari la mkaa...na wengi huwa hamsemi nyinyi..mnajikaza kisabuni tu.. 'kwishney ngosha'...
Na ndio sifa za wanawake wa kichaga hzo..
Wewe ni mchaga wa wapi ndugu yangu, maana kuna makundi 3 ya wachaga(kimaeneo) ...nilijua tu utarudi kuoa mgombani afu umtelekeze mkeo mgombani na wewe uende dizmu kutafuta 'ngoma'..,kwani huko kwenu wanawake n'kitu basi mburaaa!, wayii mwanamke ni pale anapokuwa mporaa tu basi.., jipange na hoja usije na hasira....nimeshiriki tafiti mbali mbali ktk k'manjaro ndugu..MORIA umeandika pumba hazina fahda kama magunzi ya mahind hata kuku awezi kula.wewe ukiowa mke unataka akazikwe kwao kaziii kwel kwel.uwo mfumo mang unaousema sijapata usikia jf bana mara wanawake wa kichaga wanatesa waume zao,mara wanamiguu membamba .vifua vipana ,makalio ya kihindi ..KUMBUKA MTI WENYE MATUNDA NDIO UTUPIWAO MAWE NA KILA M2 WATOTO KWA WAKUBWA.mi namshukuru mungu dada zangu watatu nishakula mahari na mimi nitarudi kuchukua wa hukohuko mgombani.
hahahahahahahaha . . .napita 2. . .eti acha kugombana na keybod yakoHeshima mbele mkuu, sina matatizo ya akili, hunijui sikujui, narudia tena si lazima uchangie kila post unayoiona, nyingine unaweza zipotezea tu. Acha kugombana na keyboard yako. LOL
mwambie,huo ni uongo uliopitiliza tena hadithi za kutunga tena waombe wachaga radhi sasa hivihadithi za kusadikika hizi
point yake kaitoa hukomi mchagga,zamani ndo nlikua nawaona wadada wana miguu miyembamba ila sio sana,kuhusu wapare bana wengi wana miguu minene.angalia totoz za usangi hedaru na pengine anapotoka mama yako...na kutoka na mazingira sijaona totoz ya kichagga leo hii eti ina miguu miyembambaaa.after all hamna aliye kamili
NIMEFANYA ANALYSIS NIMEONA KWAMBA, WADADA WENGI WA KICHAGA NA WAPALE WAPENDA SANA KUOLEWA NA WAKAKA WA NYANDA ZA JUU KUSINI na KANDA YA ZIWA,but wakishaolewa na kupata mali zingi nakuzaa mtoto hasa wa kiume, wanaume zao wanakufa ghafla!!! ni kwa nini? Pia Kwa nini WAKAKA wengi wa kichaga hawapendi kuwaoa wachaga wenzao? plz nisaidien kwa hili!!