Mabinti wa kisukuma shida nini..?

super chai
 
Hivi love bite unaongeza Nini kwenye mapenzi ....? Mimi naona wewe ndio mshamba namba moja. Halafu ni boya na limbukeni . Alie kuambia kila mtu anapenda tattoo na mialama ya mapenzi Nani......? Acha kuona watu washamba kwa uboya wako
 
Hivi love bite unaongeza Nini kwenye mapenzi ....? Mimi naona wewe ndio mshamba namba moja. Halafu ni boya na limbukeni . Alie kuambia kila mtu anapenda tattoo na mialama ya mapenzi Nani......? Acha kuona watu washamba kwa uboya wako
Take it easy bro!.. mtu ambae sio understandable namuona kama hajakamilika!,usiponielewa leo ipo siku utanielewa.
 
"bhebhe ntumbafu"

hayo maneno na imagine yalivyotamkwa kwa ukali na ile lafudhi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
"bhebhe ntumbafu"

hayo maneno na imagine yalivyotamkwa kwa ukali na ile lafudhi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza ukazimia tu..πŸ˜‚
 
harakati hizo si nika mlavu bite shingoni!!! Haloooooo!.
Mtoto akabadili mapigo baada ya meno yangu kumzidia nikasikia tu
"Bhebhe ntumbafu otuzonituja!" Tafsira yake "wewe mpumbavu usinichezee/usinidharau"
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Msipende kuleta umjini wenu mkiwa nje ya mji.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Msipende kuleta umjini wenu mkiwa nje ya mji.
Ufundi tutaendelea kuonyesha hata kwa alien..😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…