yote yako mikononi mwa Dena.................!
kama ataamua mkaikung'ute kwa mashoping ya kufa mtu ntafanyaje bana....................!
Ila Dena ninachompendea anahurumia sana senti zangu.................!
Huyu Chrisette Michelle her voice sound like yours l.o.l
YouTube - Rick Ross - Aston Martin Music ft. Drake, Chrisette Michele
yote yako mikononi mwa Dena.................!
kama ataamua mkaikung'ute kwa mashoping ya kufa mtu ntafanyaje bana....................!
Ila Dena ninachompendea anahurumia sana senti zangu.................!
Haya hii ya kwakoLeo umeamua kweli na nyimbo haya
Sawa my Love usijali nitatumia ikipungua naingia kuvuta nyingine ila usisahau basi ile ahadi yangu ya kwenda sinema Mlimani leo kuna ile picha nayoipenda sawa dear???
Na kukujali masilahi yako pia
sawa mkuu,mimi nina huruma pia....l.o.l
hiyo haina ubishi,maana ..............!
Wote wanaohang na dena wangu huwaambukiza huruma na tabia zake nzuri nyingi alizonazo.................!
usiwaonee watoto wa kike, kwani sasa hivi kuna wanaume wangapi wanaohudumiwa na wanawake? kosa lenu wanaume ni moja, mnashindwa kuidentify what u need and deserve, coz unamtaka mwanamke wa class ya juu kushinda uwezo wako akikataa unaanza kucoment kuwa wanapenda hela, and by the way mahitaji uliyomension hapo juu ya saloon n.k ni vitu vidogo mno ambavyo kwa mwanamke mwelewa hawezi kuvidai, coz ni vitu muhimu kwa mtoto wa kike ka kupumua vilee, last but not least kuna wanawake tunajitegemea na kufanya mambo yetu kwa support kutoka kwa wazazi wetu.
Hapa mnajadili nini? Kuna mtu kaniona mlima zunzu au cleaner? I have unfinished bussiness with them!
usiwaonee watoto wa kike, kwani sasa hivi kuna wanaume wangapi wanaohudumiwa na wanawake? kosa lenu wanaume ni moja, mnashindwa kuidentify what u need and deserve, coz unamtaka mwanamke wa class ya juu kushinda uwezo wako akikataa unaanza kucoment kuwa wanapenda hela, and by the way mahitaji uliyomension hapo juu ya saloon n.k ni vitu vidogo mno ambavyo kwa mwanamke mwelewa hawezi kuvidai, coz ni vitu muhimu kwa mtoto wa kike ka kupumua vilee, last but not least kuna wanawake tunajitegemea na kufanya mambo yetu kwa support kutoka kwa wazazi wetu.
sawa baby basi ngoja mm nilale maana sina pesa yakuendea mahali...............!
ila kuwa makini na ATM card hiyo si unajua muda sio mrefu natakiwa nikakulipie mahari na pesa za mahari pia zimo humu humo.............!
hiyo haina ubishi,maana ..............!
Wote wanaohang na Dena wangu huwaambukiza huruma na tabia zake nzuri nyingi alizonazo.................!
sawa mkuu,mimi nina huruma pia....l.o.l
usiwaonee watoto wa kike, kwani sasa hivi kuna wanaume wangapi wanaohudumiwa na wanawake? kosa lenu wanaume ni moja, mnashindwa kuidentify what u need and deserve, coz unamtaka mwanamke wa class ya juu kushinda uwezo wako akikataa unaanza kucoment kuwa wanapenda hela, and by the way mahitaji uliyomension hapo juu ya saloon n.k ni vitu vidogo mno ambavyo kwa mwanamke mwelewa hawezi kuvidai, coz ni vitu muhimu kwa mtoto wa kike ka kupumua vilee, last but not least kuna wanawake tunajitegemea na kufanya mambo yetu kwa support kutoka kwa wazazi wetu.
Asee nimekutafya sana! Kwa hiyo mambo yalienda kama tulivyosema! Sasa mwambie aje asome sheria mama za infi! Ivi mlima zunzu we ni she au he? Wanichanganya ujue? I have something for u!Nipo unazungumzia kwa yule dada??? Hana hamu tena na mwanaume ile kitu kamaliza.
Naona leo wakina dada na mama zangu wamekuwa wakali humu.
Wamama na kina dada mie nawapenda sana poleni kwa yote na punguzeni hasira maana naamini asilimia kubwa humu hatujuani (Im ready to be corrected)
Hawana subira. Si wadadisi. Ni rahisi kushawishiwa, hasa mwanaume akiwa mambo safi. Tamaa yao iko hivi; kama mwanaume aonavyo maungo ya kike na akili kumruka, ndivyo walivyo mabinti (wengi) waonapo mazingira ya mali. Tena zaidi gari. Siwasemi vibaya. Wanam conclude mwanaume kwa kumtazama tu. Wasiyajue ya nyuma ya pazia. Humpati mwanamke kwa tenzi za rohoni (kirahisi hata kigumu) tena bali kwa kutanguliza ulicho nacho kwanza. Wanaume wa ndoto zao ni wachache ndio maana ni rahisi kumilikiwa na mwanaume mmoja hata wakiwa watatu. Cha msingi wapate mahitaji yao 'muhimu'-saluni, vocha, usafiri, mlo, viwalo, kodi. Sex imaweza isiwe lazima. Anajua to calm hamu hata kama ni kwa kuibia, kujichua ama wao kwa wao! Si tunaona wakilana madenda laivu kwenye media? Nisiseme sana. Sie wanaume tunapenda muwe wadadisi na wenye subira. Hayo mawili ni msingi wa mengine
Asee nimekutafya sana! Kwa hiyo mambo yalienda kama tulivyosema! Sasa mwambie aje asome sheria mama za infi! Ivi mlima zunzu we ni she au he? Wanichanganya ujue? I have something for u!