Mabinti wa Presidaa M7 we acha tu!

Mabinti wa M7....haya bana tutachumbia huko ila huyo Mlinzi mmoja naona jicho limemtoka kaliekeza hukoooooooooo
 
All in all, mabinti wote wa Museveni wamechukua sura ya mama yao, no one resembles Museveni. Ila yule wa JK kafanana na JK kila kitu...!!!
 
Unaposema huyu ya JK anafanana naye kila kitu una maana gani? Sura au na matendo pia?
Naye anapenda kusafiri nje ya nchi mara kwa mara?
Mie nadhani kwa sura tu.Huyu binti wa JK namkubali, hana makuu, yupo so quiet, siyo kama pedeshee Riz! Matangazao kila kona!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…