Mwezi mbali hivyo? Ile umeomba namba tu nakubom vizuuuuuuri.
Haya mama... uwe na wakati mwema jukwaani maana haupo tayari kutongozeka.Aliekwambia mie ni binti ni nani?usichenguke na jina na picha..Nipo jinsia ya kiume
Haya mama... uwe na wakati mwema jukwaani maana haupo tayari kutongozeka.
Utatongozaje kidume mwenzio!Mie na wewe wote jinsia moja mzee
Hahaa mkuu habariNaunga mkono hii hoja
Sio mbaya chief, nipo naperuzi hapa polepole mkuuHahaa mkuu habari
Asante mkuu. .ubarikiwe maradufuSio mbaya chief, nipo naperuzi hapa polepole mkuu
Hawachelewi na kidume pia hutakiwi kuchelewa kuomba papuchi
Hivi mna shida gani lakini[emoji134][emoji134][emoji134]Ila tambua win win situation...
Ukini boom pesa naomba nikubum Papuchi baby...
#YNWA
Hivi mna shida gani lakini[emoji134][emoji134][emoji134]
Kuna kitu kagundua na yeye ndiyo maana simu kila saa, Aya mambo aya hatari sanaKuna mmoja tuko ktk urafiki, ila nimesita hata papuchi sijaomba,, niko bize asubuhi hadi saa mbili usiku,,
Ni sitoomba tuendelee hivi hivi tu, juzi kati kaniazima pesa ndogo nimemtoa kiroho safi,, na sina mpango wa kumdai,,
Simu kila siku,,
"Kuna kitu nimegundua ndo maana nafanya ivi"
Tuishie urafiki TU.
Embu ngoja waje tuone wana lipi la kusema zidi ya tuhuma hizi
Kwa kweli ni mateso hasa lijamaa kama halijiongezi..
Mwezi mbali hivyo? Ile umeomba namba tu nakubom vizuuuuuuri.
Wasiwasi unatoka wapi sasa!! Unaomba vizuri tu.tena bila wasiwasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
na asikwambie mtu bana ela ya kuhongwa na dem tammm sanaaaaDuh!Its all about hela!hela!hela! Kama unazo si unampa tu kama hauna tafuta binti mwenye nazo akupe na ww
Hahahahaaa,,,Kuna kitu kagundua na yeye ndiyo maana simu kila saa, Aya mambo aya hatari sana
Tena ukute ndo huna interest nae unamuomba hela mpaka atafute njia ya kugeuza ππππWasiwasi unatoka wapi sasa!! Unaomba vizuri tu.
Ukiona mwanaume anakupa pesa na hujamuomba basi ujue unalipa sanaHiyo huwa mnajiongeza wenyewe,mkiona kimya sana wenyewe mnaanza kutuma hela ya kula,usafiri,mara baby hela yako hii 50 matumizi yako ya wiki hii
Mara elfu 20 inaingia njoo New park tujumuike lunch,nikitaka kuondoka unatoa burungutu lako la hela ili nilione kuwa una hela,unachomoa nyekundu 3 unanipa kama nauli
Wanaume mnajishua sana,tukiwa kimya maneno,tukiomba maneno
.
Pole yenu
Hahahahaha.....kabisa mkuu hata hujakosea ujue.Ile kujifanya wife material na usimuone amekupendea hela inabidi wajibanebane asiombe hela angalau mwezi, huku wanatamani kuhongwa balaa na kukutengenezea mazingira ujiachie akupige kirungu cha maana
JaelMwezi mbali hivyo? Ile umeomba namba tu nakubom vizuuuuuuri.