Mabinti wanavyowafukuza Wapendwa Watarajiwa

Either way, security (financial!) ni mojawapo ya vipaumbele kwa mwanamke kabla hajaingia kwenye mahusiano.....labda alikuwa anaanza kutest hilo!
 
We nawe buku kumi za kibongo ndo unalia?!Embu mtumie huko acha uchoyo sijui ubahili!
 
Mmenikumbusha huyu facebooker mmoja nilipoonana nae siku ya kwanza, ya pili alinipiga mzinga wa laki nzima, sababu ya mzinga ni kapoteza ela ya mama ambayo alikuwa katumwa mboga sokoni!!! Sikumpa kwakweli na chapter iko closed mpaka leo
 
Either way, security (financial!) ni mojawapo ya vipaumbele kwa mwanamke kabla hajaingia kwenye mahusiano.....labda alikuwa anaanza kutest hilo!

Hakuna kitu kama hicho....Huyo ni kahaba tu!
 
Samahani Shoshte Si wote wanaoenda clubin ni ma Changu .. wengi sana wamekutana na wenza Wao clubbing na kumbi nyingi za strareheWame oa/olewa na familia sasa...Hujui utakutana na uliyepangiwa wapi..Si wote wanakutana ofisini hata kwenye daladala...
sio wote wanaoenda club ni machangu ila kauli ya mtoa mada kusema alimbip nakuomba vocha ya 10000 ndo imenisababisha kusema hivyo what do you expect from changu sio mzinga???yuko pale kutafuta urafiki wa kudumu au kuchukua chake mapema asepe??????
 
Mmenikumbusha huyu facebooker mmoja nilipoonana nae siku ya kwanza, ya pili alinipiga mzinga wa laki nzima, sababu ya mzinga ni kapoteza ela ya mama ambayo alikuwa katumwa mboga sokoni!!! Sikumpa kwakweli na chapter iko closed mpaka leo


...kweli ...Promises are comfort to a fool
 

hii ni kali...bora ulimkoma kwanza hana ustaarabu!!!..hapo kwenye bold mmmh...una hatari wewe,looooh
 
Ngoja ukute ni dada yako unamuita kahaba‘!

Kwani dada yangu hawezi kuwa kahaba, amekuwa malaika?? Anaweza kuwa kahaba na akiwa kahaba nitamwwambia kwamba wewe ni kahaba, siwezi kumficha! Mwanamke kahaba hajifichi.

Wanawake wanaotanguliza ''Invoice'' kabla ya ''K'' ni makahaba! Hilo linajulikana, na huwa wanawaokota hao hao wageni hapa mjini. Wajanja huwashtukia mapema.
 
Ina maana wanaoenda club ni machangu tu? Mi sometimes huwa naenda club na mpenzi wangu - ina maana naye ni changu? Ebu sahihisha msemo wako.
sorry kama umenielewa vibaya ila maana yangu ni kuwa kunao wanaenda pale kibiashara na kama ameenda pale kibiashara ndo maana alitanguliza mambo ya hela kwanza
 
Aiseeee....hongera sana!
 

Hahahaha lol, hebu sikia na hii

Unazijua sifa za mrembo wa mjini?
1. Anatakiwa ajue kudrive hata kama hana gari
2. Awe na elimu ya chuo hata kama ni level ya certificate
3. Awe anajua kuongea english hata kama ni code-switching
4. Awe anajua kupangilia nguo na viatu hata kama ni za beri rahis na ajue kujipamba
5. Asijipendekeze kwa mwanaume hata kama anavutia waje wenyewe
6. Ajue kujishughulisha hata kama hana kinachomshughulisha
7. Ajue habari za nje na ndani hata kama hazimhusu

so mkuu inawezekana umekutana na aina hii ya mrembo
 
Hain kwele mwana wa kwetu,kama vip njoo kitaa kuna mashostito wa ukweli wako poa kichizi...hawahitaji pamba wala chapaaa,weupe,weusi,udhurungi,wanene,wembamba,wakati mpaka mabaunsa na mkikutana cha kwanza anakwambia mwende ibada alafu home,masuala ya cash anakwambia karibu kwao ukatoe mahari....achana kabisa na hao mashobo usije kuta unauhama mji
 
Kumbe mnaogopa mizinga, ngoja nianze kuwapiga mizinga wasumbufu wote ili wakimbie.
 
Mungu huwakutanisha watu ktk namna mbalimbali na sehemu mbalimbali yawezakuwa kanisani, msikitini, shule, kazini, club, hapa JF, kituo cha basi etc
Huyo binti nahisi huo ni utoto unamsumbua, mwanaume kuhonga ni lazima na sikatai lakini kumpigisha mtu mzinga wa ki-cheap tena chapchap namna hiyo kwa wanaume wengi wastaarabu hiyo ni RED FLAG tayari. She was too fast
 

Once again, I reserve my TEEEEEEETH!
Naomba uni-text (sio PM) ili nianze kucheka
I salute you . . .
 

Pamoja na kwamba inasemwa sio wote waendao Club si makahaba, lakin huyu anaonekana anazo sifa zote kuu.
Siku hizi kuna mabinti ambao wamekuwa branded MAKAHABA FRESH.
Actually hawa huwa hawajiuzi kimwili sana kama wale wa kawaida, bali wao huanza kwa njia za KUKUKUBALIA OMBI LAKO (hata kama hujasema unamtaka) then anaanza kukutoa pesa kwa vocha. Utakuta kwenye simu ameku-save VOCHA MWENGE na mara nyingi hutumia kigezo kwamba ukifuatwa na mwanaume ujue anataka K tu, na wanaamini wanaume wengi wako tayari kukupa chochote ukiwaahidi kutoa K yako.
 


Ha ha ha MATY, HAPO KWENYE BOLD UMENIGUSA SANA,
SIKUHIZI WATU WENGI FAKE KWELIKWELI,
KILA KITU KIZURI WANACHO WAO,
MTAJI WENYEWE HANA LAKIN ATAKWAMBIA WIKI ILIYOPITA,
NILIENDA CHINA, DUBAI,UK,USA, SA NA KWINGINEKO,
YAANI NI FULL KUJIFAGILIA.....
U KNOW, U KNOW NYIIIINGI.

WANAWAKE WA MUJINI BWANA KWA KUJIPANGA TU?!!, WANAJITAHIDI .......KAZI KWELI KWELI.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…