Jamani kahaba/malaya/mapepe/etc haijalishi yuko wapi. kuna watu wapo ofisini ni hoooovyooooo na wengine wapo makanisani ni hooovyooooooo balaa na viouni ndo usiseme. mke au mume anapatikana popote wanapokutana watu
Samahani Shoshte Si wote wanaoenda clubin ni ma Changu .. wengi sana wamekutana na wenza Wao clubbing na kumbi nyingi za strareheWame oa/olewa na familia sasa...Hujui utakutana na uliyepangiwa wapi..Si wote wanakutana ofisini hata kwenye daladala...
Hivi majuzi kati nilikutana na binti mmoja club fulani hapa jijini. Tukachati hapa na pale, then tukapeana contacts za simu. Nikakaa siku kama tatu hivi, nikam-text, badala ya kujibu akaanza kunibip. Nikampigia simu, tukazungumza kidogo ikiwa ni pamoja na kuweka mihadi ya kukutana jioni ya siku hiyo. Wakati tunafikia mwisho wa mazungumzo msichana akaniambia naomba unitumie vocha ya 10,000/=. Nikamwambia sawa, kimsingi sikumtumia, akaanza kubip, akabip kama mara 3 hivi, baada ya kama saa moja hivi akatuma sms kwamba bado anaisubiria hiyo vocha. Sasa cha kujiuliza hapa ni kwamba hivi hawa wasichana wanaotanguliza njaa hata kabla ya kufahamiana vizuri ni sahihi kweli? Je hiyo si kumfukuza mpendwa mtarajiwa? Hawaoni kwamba hiyo inaonyesha hali ya ngono ya biashara tangu mwanzo ambayo kwa mtu mstaarabu haitamvutia?Nawasilisha.
Hain kwele mwana wa kwetu,kama vip njoo kitaa kuna mashostito wa ukweli wako poa kichizi...hawahitaji pamba wala chapaaa,weupe,weusi,udhurungi,wanene,wembamba,wakati mpaka mabaunsa na mkikutana cha kwanza anakwambia mwende ibada alafu home,masuala ya cash anakwambia karibu kwao ukatoe mahari....achana kabisa na hao mashobo usije kuta unauhama mji
twenge club Afro DSamahani Shoshte Si wote wanaoenda clubin ni ma Changu .. wengi sana wamekutana na wenza Wao clubbing na kumbi nyingi za strareheWame oa/olewa na familia sasa...Hujui utakutana na uliyepangiwa wapi..Si wote wanakutana ofisini hata kwenye daladala...
twenge club Afro D
sio wote wanaoenda club ni machangu ila kauli ya mtoa mada kusema alimbip nakuomba vocha ya 10000 ndo imenisababisha kusema hivyo what do you expect from changu sio mzinga???yuko pale kutafuta urafiki wa kudumu au kuchukua chake mapema asepe??????
Dent kwenye club au? ila mi, ninachoelewa madent wa hapa Bongo wengi wao ni machangu, makahaba malaya wa kutupwa na wengi wao utafikiri hawana walezi/wazazi wao, 2meshachoka banaaaaa!!!!!!!!!!Acha ubahili wewe, huyo ni dent mtumie credit
Sawa mkuu ila siku ya siku ktk INVOICE yao watakayonipa cku nikienda kujitambulisha zikatwe hizo za vocha au unasemaje mdauuuuuu???????????Usihofu mkuu, hicho ndio kipimo kinachotumiwa na wanawake siku hizi, usiogope go for her if you real feel her
I like ur signature. But plz dont be a vulture.Unajua baadhi ya wakina dada wanatutia aibu sana hadi wanwake wote tunaonekena ni wachunaji! Imagine, ni shida gani umekutana na mtu unaanza kumpiga mizinga.
What I have learnt, from my close friends, ukianza tabia ya kupiga mizinga, hutaacha hata ukiwa tajiri. Shida ni kuwa umejiwekewa mawazoni kwamba lazima upewe na mwanaume, hata kama wewe mwenyewe una uwezo! Unaonaje kwenda dinner na mwanaume ukajipia bill yako? Huoni atajua kuwa wewe sio cheap???
wakina dada, hasa wale ambao hawajaolewa, hakuna kitu kinachokera wanaume kama hicho! If you do that, he will realise directly that you are not a wife material.....