Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana ama mng'oa kucha1. Simba vs Yanga
2. Diamond vs Alikiba
3.Messi vs Ronaldo
4.Nyumba kwanza vs Gari kwanza
5.Ujasiriamali vs kuajiriwa
6.Rayvanny vs Aslay
9.Maua Sama vs Nandy
10.wowowo vs kimbaombao
Ni Ubishani upi unaona hauwezi kuisha mtaani?
Messi na ronardo ndio kiboko.1. Simba vs Yanga
2. Diamond vs Alikiba
3.Messi vs Ronaldo
4.Nyumba kwanza vs Gari kwanza
5.Ujasiriamali vs kuajiriwa
6.Rayvanny vs Aslay
9.Maua Sama vs Nandy
10.wowowo vs kimbaombao
Ni Ubishani upi unaona hauwezi kuisha mtaani?
[emoji23][emoji28][emoji23] wewe mchokozi sanaWanaume wa dar vs wanaume wa mkoani
Zanzibar vs Tanganyika1. Simba vs Yanga
2. Diamond vs Alikiba
3.Messi vs Ronaldo
4.Nyumba kwanza vs Gari kwanza
5.Ujasiriamali vs kuajiriwa
6.Rayvanny vs Aslay
9.Maua Sama vs Nandy
10.wowowo vs kimbaombao
Ni Ubishani upi unaona hauwezi kuisha mtaani?
HAHAAAAMshana ama mng'oa kucha
Wewe unaangalia mpira kweli???mfano lile goli la faulo hata Kane juzi kati apa alifunga,Ronaldo alifunga miaka 4 iliyopita nusu fainali UEFA tena dhidi ya Bayern Munich Alianz Arena,mtu wa kwanza mimi kumuona kufunga goli kama lile Ronaldinho..akiwa BarcaMessi na ronardo ndio kiboko.
Hii hata ukitumia fact bado ngoma inakuwa ngumu maana kila mtu ana record zakutosha..
Lakini mwisho wa siku messi anabaki kuwa messi na huwezi kimfananisha na mambo ya kipuuzi..
Kama magoli aloyoyafunga jana hayajawahi kutokea dunia hii
Uliwaona wale mabeki walivyokusanywa pamoja alafu mtaalamu akapiga goli la karne...Wewe unaangalia mpira kweli???mfano lile goli la faulo hata Kane juzi kati apa alifunga,Ronaldo alifunga miaka 4 iliyopita nusu fainali UEFA tena dhidi ya Bayern Munich Alianz Arena,mtu wa kwanza mimi kumuona kufunga goli kama lile Ronaldinho..akiwa Barca
Huwezi kufunga goli la karne dhidi ya Girona we jamaa.....[emoji16][emoji16][emoji16] ajitahidi watamfikiria kwa hilo..Uliwaona wale mabeki walivyokusanywa pamoja alafu mtaalamu akapiga goli la karne...
Siku hizo ronaldo hata havutii kumtazama yan anacheza kama john boko hana skills tena
Mkuu hivi kuwa unaangalia magoli bora ya mwaka??Huwezi kufunga goli la karne dhidi ya Girona we jamaa.....[emoji16][emoji16][emoji16] ajitahidi watamfikiria kwa hilo..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Messi na ronardo ndio kiboko.
Hii hata ukitumia fact bado ngoma inakuwa ngumu maana kila mtu ana record zakutosha..
Lakini mwisho wa siku messi anabaki kuwa messi na huwezi kimfananisha na mambo ya kipuuzi..
Kama magoli aloyoyafunga jana hayajawahi kutokea dunia hii
Kweli mwana magoli ya mesi hata kuzimu hayapo ni very uniqueMessi na ronardo ndio kiboko.
Hii hata ukitumia fact bado ngoma inakuwa ngumu maana kila mtu ana record zakutosha..
Lakini mwisho wa siku messi anabaki kuwa messi na huwezi kimfananisha na mambo ya kipuuzi..
Kama magoli aloyoyafunga jana hayajawahi kutokea dunia hii
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wanaume wa dar vs wanaume wa mkoani