Invisible JF Admin Joined Feb 26, 2006 Posts 16,286 Reaction score 8,380 Nov 1, 2010 #1 Ni muda huu baada ya Lema kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi ya ubunge. Hali bado ni tete
The Finest JF-Expert Member Joined Jul 14, 2010 Posts 21,605 Reaction score 6,092 Nov 1, 2010 #2 Hawataki watu wafurahie ushindi au ndio hasira ya kushindwa ccm
YeshuaHaMelech JF-Expert Member Joined Oct 12, 2010 Posts 2,596 Reaction score 37 Nov 1, 2010 #3 pole dada Batilda...hongera braza Lema. Wananchi ndio wameamua. Urais imekaaje?
KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Nov 1, 2010 #4 God bless wana Arusha na Lema.
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Joined Jul 3, 2007 Posts 5,551 Reaction score 2,153 Nov 1, 2010 #5 Baltida aliniudhi sana alipomkomalia Zitto Kabwe asimamishwe ubunge...
Genekai R I P Joined Feb 9, 2010 Posts 12,514 Reaction score 4,998 Nov 1, 2010 #6 Its a political RIP for Batilda!