Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mabondia wanne wa Tanzania akiwemo Dullah Mbabe wamewasili nchi Urusi kuzichapa na mabondia wa Urusi ambao awali Dullah Mbabe aliwataja kuwa wanapiga sana, lakini ameamua kwenda.
Dullah Mbabe atapambana na Pavel Silyagin kuwania ubingwa wa Asian Pacific mkanda wa WBO. Twaha Kiduku atapambana na Bek Nurmaganbet ambaye aliwahi kupiga Dullah Mbabe.
Nasibu Ramadhani atapambana na Yergniy Pavlov pia Alphonce Mchumiatumbo atapambana na Vartan Arutyunyan.
Wanapigana leo, Mei 20, 2021
Dullah Mbabe atapambana na Pavel Silyagin kuwania ubingwa wa Asian Pacific mkanda wa WBO. Twaha Kiduku atapambana na Bek Nurmaganbet ambaye aliwahi kupiga Dullah Mbabe.
Nasibu Ramadhani atapambana na Yergniy Pavlov pia Alphonce Mchumiatumbo atapambana na Vartan Arutyunyan.
Wanapigana leo, Mei 20, 2021