Maboresho umbo la malaika

Maboresho umbo la malaika

bahati93

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2015
Posts
1,334
Reaction score
2,463
Malaika ni viumbe wa mbinguni Wanatumika kufikisha jumbe za Mwenyezi Mungu kwa watu husika, hawa viumbe wana mabawa mengi sana yanayowawezesha kusafiri kwenye anga kwa kasi ya ajabu. Sasa kwa elimu dunia ndogo niliyopata juu ya mambo usafiri wa anga nadhani si Sawa malaika kuendelea hutambulika kama kiumbe chenye mabawa.

Huu ni muda muafaka mwenyezi Mungu awafunge jet hawa malaika ili kuweza kwenda sambamba na teknolojia. Embu fikiri kombola la hypersonic limerushwa kuelekea Israel sidhani kama malaika ataweza kupeperuka kwa kasi kwenda kuwaambia watu wema waondoke, au kulifukuzia kulikamata angani na kuigeuza lilipotokea.

Pia, maarifa ya uwepo wa atmosphere na kutokuwepo kwakwe kwenye anga za mbali ni changamoto nyingine kubwa inayowakabili hawa viumbe wa Mungu. Labda ni fafanue zaidi atmosphere yetu ndiyo inawezesha wanyama wenye mabawa kupeperuka hivyo kama haipo basi chenye mabawa hakiwezi kupeperuka. sasa hawa viumbe wanapata shida sana wanavyosafiri kutoka mbinguni kuja duniani maana hapo katikati njiani hakuna hewa.

Maboreshoo wanahitajika mapema sana.
images (1) (26).jpeg
 
Malaika ni viumbe wa mbinguni Wanatumika kufikisha jumbe za Mwenyezi Mungu kwa watu husika, hawa viumbe wana mabawa mengi sana yanayowawezesha kusafiri kwenye anga kwa kasi ya ajabu. Sasa kwa elimu dunia ndogo niliyopata juu ya mambo usafiri wa anga nadhani si Sawa malaika kuendelea hutambulika kama kiumbe chenye mabawa.

Huu ni muda muafaka mwenyezi Mungu awafunge jet hawa malaika ili kuweza kwenda sambamba na teknolojia. Embu fikiri kombola la hypersonic limerushwa kuelekea Israel sidhani kama malaika ataweza kupeperuka kwa kasi kwenda kuwaambia watu wema waondoke, au kulifukuzia kulikamata angani na kuigeuza lilipotokea.

Pia, maarifa ya uwepo wa atmosphere na kutokuwepo kwakwe kwenye anga za mbali ni changamoto nyingine kubwa inayowakabili hawa viumbe wa Mungu. Labda ni fafanue zaidi atmosphere yetu ndiyo inawezesha wanyama wenye mabawa kupeperuka hivyo kama haipo basi chenye mabawa hakiwezi kupeperuka. sasa hawa viumbe wanapata shida sana wanavyosafiri kutoka mbinguni kuja duniani maana hapo katikati njiani hakuna hewa.

Maboreshoo wanahitajika mapema sana.
View attachment 2954212
Kumbe kuna malaika anaitwa Lucifer 😀😀

Ebu tuambie,na wewe ni myahudi wa wapi??
 
Maboresho tayari Mungu alishayafanya, ni wewd tu umekariri kuwa malaika wana mabawa. Kama ni kasi wanayo ya ajabu kuliko mwanga. Kwa kila maendeleo ya mwanadamu Mungu yupo mbele zaidi
 
Yy ndiye muumba na muunda wa vyote. Bila yy hakuna kitu chochote.
 
Mungu ndie muumba na Muunda wa vyote ndan ya Dunia hii.
In Every single Seconds people are die around the world. Na malaika mtoa Roho anafanya kaz yake vzur tu tena kwa wakati. Je hyo speed yake inaringana na Jet engine....?
 
Kumbe kuna malaika anaitwa Lucifer 😀😀

Ebu tuambie,na wewe ni myahudi wa wapi??
Ndio Lucifer malaika wa kipekee sanaa. Mimi myahudi ukoo wa Benjamini
 
Malaika ni viumbe wa mbinguni Wanatumika kufikisha jumbe za Mwenyezi Mungu kwa watu husika, hawa viumbe wana mabawa mengi sana yanayowawezesha kusafiri kwenye anga kwa kasi ya ajabu. Sasa kwa elimu dunia ndogo niliyopata juu ya mambo usafiri wa anga nadhani si Sawa malaika kuendelea hutambulika kama kiumbe chenye mabawa.

Huu ni muda muafaka mwenyezi Mungu awafunge jet hawa malaika ili kuweza kwenda sambamba na teknolojia. Embu fikiri kombola la hypersonic limerushwa kuelekea Israel sidhani kama malaika ataweza kupeperuka kwa kasi kwenda kuwaambia watu wema waondoke, au kulifukuzia kulikamata angani na kuigeuza lilipotokea.

Pia, maarifa ya uwepo wa atmosphere na kutokuwepo kwakwe kwenye anga za mbali ni changamoto nyingine kubwa inayowakabili hawa viumbe wa Mungu. Labda ni fafanue zaidi atmosphere yetu ndiyo inawezesha wanyama wenye mabawa kupeperuka hivyo kama haipo basi chenye mabawa hakiwezi kupeperuka. sasa hawa viumbe wanapata shida sana wanavyosafiri kutoka mbinguni kuja duniani maana hapo katikati njiani hakuna hewa.

Maboreshoo wanahitajika mapema sana.
View attachment 2954212
tanzania ya vi..wonder
 
Back
Top Bottom