WanaJF, mnisamehe kama hili suala limeshaulizwa na kupatiwa ufumbuzi kwani kwa upande wangu katika kupitia humu sijaiona!
Nauliza hivi, kama Bunge maalumu la Katiba litapitisha katiba mpya kitakachofuata ni kura ya maoni. Je waTZ tutapiga kura kabla daftari la wapiga halijaongezwa majina ya vijana waliofikisha miaka kumi na minane baada ya kuboreshwa kwa mara ya mwisho? Serikali itakuwa haitendi haki kwa raia wake.
Nauliza hivi, kama Bunge maalumu la Katiba litapitisha katiba mpya kitakachofuata ni kura ya maoni. Je waTZ tutapiga kura kabla daftari la wapiga halijaongezwa majina ya vijana waliofikisha miaka kumi na minane baada ya kuboreshwa kwa mara ya mwisho? Serikali itakuwa haitendi haki kwa raia wake.