Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna Jipya unatuchora tu humu logo yako Pdidy inakusuta.HIII N LAANA SITAKIKUWAKUMBUKA WALIBYONIPOTEZEA MPENDWA WANGU
Kivipi???.Mbona mimi naona wako vizuri tu!!!.Fani ya udaktari hawa NHIF wanaiua wakishirikiana na wizara ya afya na hizo treatment guidelines zao. Madaktari wanaendeshwa kwa rimoti. Yaani badala ya kufanya kinachomfaa mgonjwa wanafanya kile kitakacho lipwa na NHIF.....inasikitisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa mfuatiliaji wa jinsi NHIF inafanya kazi ungejua inalenga kumhudumia kila mtanzania kwa huduma bora za Afya. Hakuna Ugonjwa usiokuwa covered na NHIF na hao wazee wanatibiwa kwa utaratibu mzuri kabisa wa wataalam.Rubbish, wametoa daw nzuri wakaweka dawa mbaya. Unatoaje Fastum gel na kuweka diclorofenac gel. Wazee walikuwa wanaponea dawa hiyo kwa kuumwa na mgongo. Wapuuzi wakubwa, walaaniwe
Ni pale daktari anamuhudumia mgonjwa halafu ikipelekwa claim form NHIF wanakataa kulipa eti over utilisation of resources...really?? Wewe ndio ulimuona mgonjwa. Why not trust the doctors??Kivipi???.Mbona mimi naona wako vizuri tu!!!.
OK!!!.Offcourse niliwahi kusikia kuwa hao jamaa wana viwango vyao vya mwisho vya Matibabu,ambapo kwa Mtumishi wa Serikali inatakiwa isizidi Tshs.15,000/=.Ni pale daktari anamuhudumia mgonjwa halafu ikipelekwa claim form NHIF wanakataa kulipa eti over utilisation of resources...really?? Wewe ndio ulimuona mgonjwa. Why not trust the doctors??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumradhi ni Milioni sita na siyo 15,000/=.OK!!!.Offcourse niliwahi kusikia kuwa hao jamaa wana viwango vyao vya mwisho vya Matibabu,ambapo kwa Mtumishi wa Serikali inatakiwa isizidi Tshs.15,000/=.
Hawa jamaa wanafanya marekebisho kila siku yani kama Dawa ndo usisemee...!!Kumradhi ni Milioni sita na siyo 15,000/=.
Matibabu bure!?Hiyo ni msamaha labda sio bure. Kama unakatwa bima haiwezi kuwa bure tena hiyo mkuuDa mie nawashukuru japo kuna wakati wanachemka. Mzazi wangu mmoja aliebaki anapata dawa na matibabu bure muda sasa. Mapungufu yapo warekebishe.
Lazima niwe mkweli kiasi nachokatwa na huduma ni Sawa na bure. Haya magonjwa makubwa ni tofauti na maleria na UTI. Binafsi nafurahia huduma zao Sikatai changamoto zipo lakini wanajitahidi .Ma
Matibabu bure!?Hiyo ni msamaha labda sio bure. Kama unakatwa bima haiwezi kuwa bure tena hiyo mkuu