morphine JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 3,504 Reaction score 1,093 Jun 7, 2022 #21 Hovyo kabisa, kwa wafanya baishara wa online kuweka ukomo wa picha tatu ni kumkosesha mteja.
usser JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 13,956 Reaction score 14,032 Jun 8, 2022 #22 AFYA ZAIDI CONSULTANTS said: Labda na wao wanastruggle kupata mauzo na faida. Online business platforms kwa Tanzania bado ni kizimkuti sana, ndio maana hata Jumia maisha yamewashinda hapa kwetu Click to expand... Wakat hapa Kenya wanapeta kama wali mandondo
AFYA ZAIDI CONSULTANTS said: Labda na wao wanastruggle kupata mauzo na faida. Online business platforms kwa Tanzania bado ni kizimkuti sana, ndio maana hata Jumia maisha yamewashinda hapa kwetu Click to expand... Wakat hapa Kenya wanapeta kama wali mandondo