Mabosi wa taasisi binafsi, ruhusuni vijana kada ya afya wakafanye intrerview

Mabosi wa taasisi binafsi, ruhusuni vijana kada ya afya wakafanye intrerview

kante mp2025

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2022
Posts
631
Reaction score
1,192
Imebainika baadhi ya taasisi private zimeanza kutoa vitisho kwa vijana waliochaguliwa kwenda kufanya usahili katika kada mbalimbali za afya maboss hao wameanza kuwatisha vijana kuwa wakifanya usahili basi na vibarua vyao ndio vitaota nyasi.

Acheni hii, ruhusuni vijana wakapambane kuna walioambiwa wakienda kwenye interview basi wasirudi tena kwenye hizo taasisi.
 
Kwa 'Maboss' ruhusu interview upate kufanya kazi na watu ambao wanaweza saidia taasisi yako kukua. Ukiang'ang'ania kukaa na mambumbu si salama sana kwa ukuaji wa taasisi yako.
Akili kubwaz hizi kaka safi sana ningekuwa vzuri ningekupa ya soda😂

Sasa eti boss vijana wanataka wakapambane usahili hata ruhusa anakunja na anaenda mbali anawatisha kuwa mkienda msirudi tena ofisini hii ni roho mbaya mno
 
Back
Top Bottom