Macbook pro

Mchana

Senior Member
Joined
Sep 27, 2007
Posts
183
Reaction score
16
wakuu! ndugu yangu yuko dar anaomba msaada wa kuelekezwa mahali pa kununua laptop ya mac kwa bei nzuri, iwe mpya au used. please saidia
 
Aende ilipo Shaaban Robert Sec School,Upanga, opposite Olympio Primary School, ulizia Elite Computers ndio the one and only genuine dealer wa Mac ila nakuomba usilete habari za bei poa kwenye Mac, kama anataka Mac na anajua anataka nini, must be ready to pay the price.
 
wakuu! ndugu yangu yuko dar anaomba msaada wa kuelekezwa mahali pa kununua laptop ya mac kwa bei nzuri, iwe mpya au used. please saidia

MKUU,napenda kukufahamisha kuwa MAC wametoa OS kwa machine za kawaida, unaweza kuidownload naku-install kwenye pc au laptop yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…