Machache kuhusu filamu za ngono Marekani

wengi kuliko maelezo
ukifuatilia vema kwa uelewa upitao akili ya kawaida, dhambi ya kwanza kufanyika duniani ni uasherati. hata katika kitabu kitakatifu uzinzi/uasherati ndio dhambi iliyotajwa mara nyingi. uzinzi, uasherati ndio dhambi iliyopelekea maafa wakati wa nuhu na sodoma/gomora. wengi wetu hatuenendi katika utakatifu ndio maana porno industry ina wadau wengi duniani kote yaani ni 8% ya binadamu duniani kote ndio hawafuatilii the rest tunapishana kubobea katika hii kitu na janga zito liko njiani linakuja yaani dhambi ina mapato mengi kuliko matendo ya haki. eti una bundle lakutosha halafu upo idle tu na stress za maisha lazima ugoogle porno baada ya hapo either punyeto, malaya. na wameweka categories kucover walio single, wenye wapenzi, wasagaji nk.
 
Sijaskia mkiongelea matuzo yao yale ma AVN awards
 
siwezi nkapata collabo nilipwe hata dola 5 $ wao wachukue hizo 100000 $ zilizobaki??
 
Mimi jamani wanipe dola moja tuu hizo nyingine wabaki nazo
 
Mimi jamani wanipe dola moja tuu hizo nyingine wabaki nazo
sio starehe ni kazi so kwanini utake pesa ndogo, kuna muda utalishwa viagra na kupigwa masindano mashine ipige kazi. ipo siku hamu hakuna ila kazi lazima ufanye. kimsingi hakuna starehe wala uhuru wa tendo kila kitu unakuwa directed kufanya, mfano hukipiga bao kabla ya muda wanaotaka wao hiyo scene mnaanza upya na unakatwa pesa kumfidia mwanamke na muda wa kushoot scene mpya. yaani kila cha kufanya unapangiwa sasa starehe iko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…