Machache kuhusu filamu za ngono Marekani

Haiingii akilini. Hebu taja waigiza na watengeneza porno tuangalie vipato na net worth zao, halafu linganisha na wacheza kikapu. Porn industry haingii hata nusu ya MLS, achilia mbali NBA. Source yako Haina reliability.

kwanza unajua porn inaingiza hela nyingi kupitia wapi? kama ulikuwa hujui ni kupitia mitandao..... asilimia 70 ya web host za porn zipo marekani hadi hapa usipoelewa basi siwezi kukuelewesha zaidi
 
kwenye iyo list tanzania sijaiona afu mi saizi nataka nidownload sa mi nipo nchi gani kati ya izo? mbona unanichanganya kisaikolojia mze baba!
 
kwenye iyo list tanzania sijaiona afu mi saizi nataka nidownload sa mi nipo nchi gani kati ya izo? mbona unanichanganya kisaikolojia mze baba!
tanzania tupo milioni 60 wenye acces ya internet ni 20milion wanaoangalia porn tuseme 15milion alafu linganisha na marekani wapo 400 milioni wenye acces ya internet ni 380 milion wanaongalia porn ni 220 milion sasa hapo tanzania inaingiaje 😂😂😂😂
 
Kwa tangazo hili utasababisha vijana wengi wakimbilie huko.Hapo tz hayuko kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haiingii akilini. Hebu taja waigiza na watengeneza porno tuangalie vipato na net worth zao, halafu linganisha na wacheza kikapu. Porn industry haingii hata nusu ya MLS, achilia mbali NBA. Source yako Haina reliability.
watu wanaenda na takwimu sio porojo za vijiweni. acha kukariri
 
kwanza unajua porn inaingiza hela nyingi kupitia wapi? kama ulikuwa hujui ni kupitia mitandao..... asilimia 70 ya web host za porn zipo marekani hadi hapa usipoelewa basi siwezi kukuelewesha zaidi
huyo anaule ubishi wa vijiweni. hajawahi hata siku moja kufuatilia takwimu toka vyanzo husika. by the way ni marekani taifa lao liko tofauti kabisa na tanzania. tusikariri upataji hela wa bongo na marekani uwe hivohivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…