Machache kumuhusu Il Divin Codino Roberto Baggio…

Machache kumuhusu Il Divin Codino Roberto Baggio…

Gang Chomba

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
20,649
Reaction score
4,786
1. Aliujuwa mpira na mpira ulimjuwa na ulimfuata.
2. Mara nyingi alipo uagiza ulifika kwa mlengwa.
3. Ukimuuliza Zidane ni kipi anajutia kwenye Soka?!
Hatokwambia ile Kadi Nyekundu kwenye final ya World Cup bali atakwambia ni kuchelewa kwake kujiunga na Juve, na Siku alipo jiunga akakuta Baggio ameshaondoka.
4. Alicheza timu 3 kubwa Italy na hakuwahi kuzomewa.
5. Ndie Mchezaji Pekee alie waita wapinzani waje wamkabe na wapinzani waligoma.
Pichani Baggio akiwaita walinzi wa Inter ambao waligoma kabisa kumsogelea.
IMG_2743.jpeg
 
Habari mbaya kwake ni ile penati aliyopiga fainali ya world cup 94 marekani, dhidi ya brazil kwenye dimba la rose bowl, pasadena, california... Mbele ya mashabiki 90,000+ hivi (sina uhakika kama tupac alikuwa mmoja wao)
Mwamba baresi alikosa ya kwanza ye akaja kukosa ya mwisho na kuwaua waitaliano wenzie na kuwaacha brazil wakibeba kombe lao la 4, likiwa la kwanza kwa hili jipya baada ya brazil iliyoshindika ya kina mtaalamu pele kubeba lile jingine la jules rimet trophy mara 3.
 
Back
Top Bottom