Machache niliyogundua kuhusu wanawake kwenye mahusiano

Summary: Loading failed anamaanisha tusiishi na Mwanamke kamwe. Sijui tumeelewana Wakuu?
 
A-Z: Kina dada msiolewe na wanaume ambao hawana pesa.
Maan wamezidi kutuchambua sasa
 
Mwaka umeanza kwa machachari sana.
 
Sawa ila hapa umepotea njia wewe endelea kuuza tena uza pande zote za shilingi
Pole sana shoga angu.
Kama ndo mambo yako hayo kuuza nyuma ya mwiko pole sana tena nakupa pole mno.
Kajaribu kuuza kwingine 😎😎😎😎😎
 
Kwa sheria hizo ni wazi kwamba unamaanisha, ewe kijana mwenye akili timamu, kama unayapenda maisha yako = KATAA NDOA, maana kiuhalisia wanawake wa leo hizo sifa ulizoandika ndivyo walivyo, ni ngumu sana kumpata perfect, labda waliobaki wameolewa, wengine ni wajane, na wachache sana tayari wanamahusiano, hivyo uamuzi ni wako sasa utafanya lipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…