Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli kabisaSisi tunapinga CCM kuwaonea Watanzania
Acha tu taifa teule liendelee kugawa dozi hamna namna.Nikweli kabisa
Uchaguzi serikali za mitaa
Uchaguzi serikali kuu
Kupotezwa raia
Kubambikiwa makes
Makodi yasio na Taratibu
Afya duni
Elimu duni
Nknk
Yetu yanatushinda tunarukia ya mbali
Awapelekee moto vizuri tu [emoji16]Asilimia 95% ya hao waandamanaji ni Waislamu. Sijui kwa nini hawaandamani ISIS Alshabab na Boko Haram wanavyochinja Waislamu wenzao. Ni wanafiki tu.
Israel zidisha dozi.
NO MERCY
RTI
Mpaka tunaingia mitamboni miji hii kinawaka sasa
1. Paris
2. London
3. Berlin
Jana ilikua New York na pia Lebanon kunawaka moto kati ya polisi na waandamanaji wanaopinga uonevu wa Israel kwa Palestina
Waache waandamane ila soon vikundi vya propaganda vya Israel vitayaintercept hayo maandamano uchwara
Hakukuwepo na utandawazi kama leoWalipikuwa wayahudi wanauwawa na Hitler waliandamana tuanzie hapo
Wawarudishe huko kwao wakawasaidiye wenzao kupigana na IsraelNilidhani ni Wenyeji ndiyo wanaandamana kumbe ni Wakuja waliopewa hifadhi! Eti “kunawaka moto” [emoji23][emoji23][emoji23]
Waandamanaji sio wapalestina ni raia wanaoumizwa na vitendo vya IsraelKwanini wana andamana kwenye nchi za watu kwanini wasiandamane kwenye nchi za karibu hapo! Kwahiyo wanawaogopa boko haram, alshabab maana hatujasikia hata siku moja
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Nawatakia maandamano mema, vipi bongo hakuna maandamano hayo?Waandamanaji sio wapalestina ni raia wanaoumizwa na vitendo vya Israel