Machafuko Uingereza yaongezeka, Raia waonywa

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
kufuatia kuchafuka kwa nchi ya Uingereza kwa vurugu za kibaguzi ambazo zimewalenga waafrika na waislamu kwa kias kikubwa, Mataifa kadhaa yameonya raia wake baada ya wafanya ghasia kulenga miaikiti baada ya shambulio la visu kusababisha vifo vya watoto wadogo wakike.

Baadhi ya nchi zilizo toa maonyo ni pamoja na Nigereia, Malaysia na Indonesia , Nchi hizi zimewatakan raia wake wanaoishi au kutembelea Uingereza kuwa makini na kuepuka mikusanyiko na maeneo yenye vurugu.

 
BBC hawawezi kiripoti hii kitu 😆😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…