silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Habari zenu Watanzania wenzangu, (munaopenda maendeleo ya nchi na musiopenda pia)
Leo ninacho cha kushare na nyinyi kuhusu mwenendo mzima wa nchi yetu ya Amani na upendo, nimeamua kushare hivi kwasababu nimesha ona mbele nini kitatokea na nani atasababisha matokeo hayo, kuna mambo ambayo tuna takiwa tuwe nayo makini wakati tunaenda katika kuzijua haki za msingi kwa kila mwananchi, kwasababu kwa nchi zilizo endelea Matokeo yake tunayaona na nyingine kutokea Mapinduzi ya Aibu kwa Raisi ambaye wananchi walikuwa Wanamuamini kwa asilimia 100%
Mfano ni Egipy, na Maandamano yanayoendelea huko nchini Libya.
Haya yote yanatokana na Kutumia fursa ya Kuaminika kwa wananchi wake katika matumizi mabaya ya uongozi bila kujua kwanini wananchi wanamuamini.
Watanzania baadhi sasa wanajua haki zao za kimsingi na ndio maana limezuka swala la katiba, Watanzania wa sasa ni wepesi kukubali kufanya Movement yeyote ya kimaandamano kama sababu ya Maandamano hayo ni yamsingi. lakini upande wapili ni tofauti, wakati wao wanafanya maandamano ya Halali na Amani wao wanayageuza maandamano hayo ni Range na Uwanja wa mazoezi wa kujifunzia kuattack fujo.
Nina uhakika Mwalimu Julias Kambarage Nyerere angefunguliwa mbingu siku moja na mungu akayaona haya yanayo tendeka Tanzania angelia na chozi lake tungeliona, Kesi za mafisadi enzi zake hazikuwepo kwasababu yeye alizishughulikia hata kabla hazijafika kwa wananchi wake anaowapenda.
Mara Mijadala ya kijinga na uchama, haikuwepo enzi zake,,
Sasa naomba watanzania wenzangu tuweni makini na hali halisi ambayo inakuja hapo mbele, ninauhakika Watanzania wengi wakisha jua haki zao za msingi ni rahisi kuwapahakihizo na umuhimu wake kwa wachache ambao hawajazijua,
Rai kwa viongozi
Viongozi tumieni wakati huu kuwapatia haki wanayo stahili wananchi wenun kusije tikea machafuko, (hatujui hatima ya maandamano ya wananchi wa jimbo la segerea, na pingamizi la Mgombea ubunge kupitia chama cha Mapinduzi, kutoka kwa mgombea kupitia tiketi ya chama cha Cadema
Itafikia hatua Wananchi watatumia nguvu katuka kudai haki zao
Leo ninacho cha kushare na nyinyi kuhusu mwenendo mzima wa nchi yetu ya Amani na upendo, nimeamua kushare hivi kwasababu nimesha ona mbele nini kitatokea na nani atasababisha matokeo hayo, kuna mambo ambayo tuna takiwa tuwe nayo makini wakati tunaenda katika kuzijua haki za msingi kwa kila mwananchi, kwasababu kwa nchi zilizo endelea Matokeo yake tunayaona na nyingine kutokea Mapinduzi ya Aibu kwa Raisi ambaye wananchi walikuwa Wanamuamini kwa asilimia 100%
Mfano ni Egipy, na Maandamano yanayoendelea huko nchini Libya.
Haya yote yanatokana na Kutumia fursa ya Kuaminika kwa wananchi wake katika matumizi mabaya ya uongozi bila kujua kwanini wananchi wanamuamini.
Watanzania baadhi sasa wanajua haki zao za kimsingi na ndio maana limezuka swala la katiba, Watanzania wa sasa ni wepesi kukubali kufanya Movement yeyote ya kimaandamano kama sababu ya Maandamano hayo ni yamsingi. lakini upande wapili ni tofauti, wakati wao wanafanya maandamano ya Halali na Amani wao wanayageuza maandamano hayo ni Range na Uwanja wa mazoezi wa kujifunzia kuattack fujo.
Nina uhakika Mwalimu Julias Kambarage Nyerere angefunguliwa mbingu siku moja na mungu akayaona haya yanayo tendeka Tanzania angelia na chozi lake tungeliona, Kesi za mafisadi enzi zake hazikuwepo kwasababu yeye alizishughulikia hata kabla hazijafika kwa wananchi wake anaowapenda.
Mara Mijadala ya kijinga na uchama, haikuwepo enzi zake,,
Sasa naomba watanzania wenzangu tuweni makini na hali halisi ambayo inakuja hapo mbele, ninauhakika Watanzania wengi wakisha jua haki zao za msingi ni rahisi kuwapahakihizo na umuhimu wake kwa wachache ambao hawajazijua,
Rai kwa viongozi
Viongozi tumieni wakati huu kuwapatia haki wanayo stahili wananchi wenun kusije tikea machafuko, (hatujui hatima ya maandamano ya wananchi wa jimbo la segerea, na pingamizi la Mgombea ubunge kupitia chama cha Mapinduzi, kutoka kwa mgombea kupitia tiketi ya chama cha Cadema
Itafikia hatua Wananchi watatumia nguvu katuka kudai haki zao