Machangudoa wa kitanzania na mishe zao za kuchuuza ngono nchini Kenya

Machangudoa wa kitanzania na mishe zao za kuchuuza ngono nchini Kenya

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Huwa naona baadhi ya majirani zetu humu kutoka dona kantri wakijipiga vifua. Kwamba wanaweza wakafunga mpaka wao na Kenya. Kwasababu nchi yao eti ni ya 'asali na maziwa' na hawahitaji la ziada kutoka kwa yeyote. Mkifahamishwa kuhusu omba omba wa kitanzania ambao wamevamia miji ya Kenya huwa mnajitia hamnazo. Leo nawafahamisha kuhusu maelfu ya dada zenu ambao wanachuuza ngono nchini Kenya. Yeyote yule ambaye anaifahamu Nairobi vizuri atakuwa anajua mtaa ambao kwa sheng huwa unaitwa 'Kijee', almaarufu Majengo au 'kwa watanzania'. Huu ni mtaa wa machungodoa tupu kutoka Tz. Huwa wanaketi kwenye 'stools' nje ya vyumba vyao, kuashiria kwamba wapo kazini. Mteja akija, changudoa anamfata nyuma akiwa na stool yake kisha wanaingia chumbani, yanayofata baada ya hapo mnayafahamu vizuri. >>https://www.iom.int/migrant-stories/day-life-imelda-angelo-migrant-female-sex-worker >>https://www.standardmedia.co.ke/eve...dest-prostitute-that-has-slept-with-5-000-men
 
Bila picha yenye ushahidi huu ni Umbea tu kama umbea mwingine.

Siku zingine Dada yangu ukija na taarifa kama hizi uje na ushahidi.

Ni ushauri tu.
 
Fursa
Fursa
Wakenya mnapenda dada zetu warembo. Sasa nyinyi wakina Wambui mtamuuzia nani na sura zenu ngumu kama mnakamuliwa jipu....
Samahani Atieno.
Makomwe gals
 
Huwa naona baadhi ya majirani zetu kutoka dona kantri wakijipiga vifua. Kwamba wanaweza wakafunga mpaka wao na Kenya. Kwasababu eti nchi yao ni ya 'asali na maziwa' na hawahitaji la ziada kutoka kwa yeyote yule. Mkifahamishwa kuhusu omba omba wa kitanzania ambao wamevamia miji ya Kenya huwa mnajitia hamnazo. Leo acha niwafahamishe kuhusu maelfu ya dada zenu ambao huwa wanachuuza ngono chini Kenya. https://www.iom.int/migrant-stories/day-life-imelda-angelo-migrant-female-sex-workerhttps://www.standardmedia.co.ke/eve...dest-prostitute-that-has-slept-with-5-000-men
Nani amekuandikia Hii Habari? Kisw kinaeleweka, Wanauza kwasababu mnanunua...
Acheni kununua nyuchi zao warudi Gongolamboto
 
Nani amekuandikia Hii Habari? Kisw kinaeleweka, Wanauza kwasababu mnanunua...
Acheni kununua nyuchi zao warudi Gongolamboto
Eti wanawalaumu dada zetu wakati wateja ni wao wenyewe. Hebu acheni kununua basi warudi nyumbani. Wawekeeni utaratibu walipe kodi manyang'au mjengewe SGR sio mlielie humu.
 
Bila picha yenye ushahidi huu ni Umbea tu kama umbea mwingine.

Siku zingine Dada yangu ukija na taarifa kama hizi uje na ushahidi.

Ni ushauri tu.
Aisee mbona huwa mna uvivu
wa kubofya link na kusoma taarifa kwanza. Picha zipo kwenye taarifa hiyo ambayo inaeleweka virahisi. Haya basi,ndio huyu Imelda Angelo kutoka Bukoba. Ameuza papuchi yake Nairobi kwa zaidi ya miaka 25!
ke20110805_fs1.jpg
Kazi kwako, mtafute fb ujinufaishe pia, na gofu lililosalia baada ya nyang'au kurrrarrruaaa.
 
Bila picha yenye ushahidi huu ni Umbea tu kama umbea mwingine.
Siku zingine Dada yangu ukija na taarifa kama hizi uje na ushahidi.
Ni ushauri tu.
Sitachoka, ndio huyu hapa Rosemary Johns(jina haliendani na pua), kutoka Musoma. Yeye ndio ameangaziwa kwenye hiyo taarifa ya SG. Hii ilikuwa baada yake kujitwika taji la 'Nairobi's oldest prostitute'. Amechuuza ngono Nairobi kwa zaidi ya miongo mitatu, na anaona sifa kutangaza hadharani kwamba amelala na wanaume zaidi ya 5,000!
jsfgp8ufahmry45a339e19881d0.jpg
 
Sitachoka, ndio huyu hapa Rosemary Johns(jina haliambatani na pua), kutoka Musoma. Yeye ndio ameangaziwa kwenye hiyo taarifa ya SG. Hii ilikuwa baada yake kujitwika taji la Nairobi's oldest prostitute. Amechuuza ngono Nairobi kwa zaidi ya miongo mitatu, na anaona sifa kutangaza kwamba amelala na wanaume zaidi ya 5,000!
jsfgp8ufahmry45a339e19881d0.jpg
Whatever.....wateja ni nyie wenyewe. Sasa mnamlaumu nani?
 
Whatever.....wateja ni nyie wenyewe. Sasa mnamlaumu nani?
Nani amelaumiwa, Mbona unajishuku?
Eti wanawalaumu dada zetu wakati wateja ni wao wenyewe. Hebu acheni kununua basi warudi nyumbani. Wawekeeni utaratibu walipe kodi manyang'au mjengewe SGR sio mlielie humu.
Eti kodi? Watoe wapi? I wish mngesoma hizo taarifa hapo kwenye link. Dada zenu wanauza papuchi kwa bei ya shilingi hamsini za Kenya! [emoji15] Wanaketi kwenye stuli zao Majengo kwa watanzania na kuservice wanaume mmoja baada ya mwengine kutoka chee hadi machweo. Wengi wameaga dunia wakiwa Kenya kwasababu ya magonjwa na vipigo kutoka kwa customer zao. Alafu hawana pa kukimbilia kwasababu ni wahamiaji haramu.
Rate ya HIV kwa hawa machangudoa ni 80%!
Nani amekuandikia Hii Habari? Kisw kinaeleweka, Wanauza kwasababu mnanunua...
Acheni kununua nyuchi zao warudi Gongolamboto
 
Omba omba, makahaba, wachuuzi pale Gikomba, na mateja kutoka Tanzania ni wengi Sana Kenya. Tunawakaribisha kwa Nchi ya Asali na maziwa , wasisumbuke na Serikali ya dhiki na mateso CCM.
Akili yako mbovu kishenz [emoji23] [emoji23]
 
Kule kwao vyuma vimekaza, sasa hivi wanatozwa hadi kodi ya nywele bandia/wig
Tujiandae kuwapokea, hamna jinsi.
Kali sana, nywele bandia ndio zitajazilia pengo kwenye bajeti? [emoji1] Wangeongeza na kodi ya lipsi oversize pia ndio wangekuwa wameua! [emoji38][emoji38]
0fgjhs471dolir7p3.jpg
 
Mmmeona picha za hao dada zenu, na walivokomaa kama kisigino cha nungunungu?
Sitachoka, ndio huyu hapa Rosemary Johns(jina haliambatani na pua), kutoka Musoma. Yeye ndio ameangaziwa kwenye hiyo taarifa ya SG. Hii ilikuwa baada yake kujitwika taji la 'Nairobi's oldest prostitute'. Amechuuza ngono Nairobi kwa zaidi ya miongo mitatu, na anaona sifa kutangaza hadharani kwamba amelala na wanaume zaidi ya 5,000!
jsfgp8ufahmry45a339e19881d0.jpg
Aisee mbona huwa mna uvivu
wa kubofya link na kusoma taarifa kwanza. Picha zipo kwenye taarifa hiyo ambayo inaeleweka virahisi. Haya basi,ndio huyu Imelda Angelo kutoka Bukoba. Ameuza papuchi yake Nairobi kwa zaidi ya miaka 25!
ke20110805_fs1.jpg
Kazi kwako, mtafute fb ujinufaishe pia, na gofu lililosalia baada ya nyang'au kurrrarrruaaa.
Haiwezekani Kenya ikawa na Warembo wakati Huyu ndio baba yao

IMG-20190529-WA0003.jpeg
 
Nyie mmesahau mko na chura kwenu
Huyu Mungu wenu yuko wapi sikuhizi?

Anaitwa Wanyonyi Jehova.

Yaani hapa ndipo nlipoamini kuwa Wakenya hamnazo...wallah


Hahahaha.....Wakenya bhana.
maxresdefault.jpeg
images%20(9).jpeg
 
Back
Top Bottom