BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Hawa watu wamekua kero sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tlaahtlaah, Mwashambwa pokeeni Maua Yenu hayo,komeni kabisa!Hawa watu wamekua kero sana.
View attachment 3255813
Wapokee sindano,wanawakela hata wavaa kijani wenzako,hamna wingi wa chawa Kumbe ni nilidhani Machawa,CHAWA
Kwa wasivyo na haya,watakuwa na ngonjera!Lucas Mwashambwa ChoiceVariable The Sunk Cost Fallacy 2 hawa wamevuka stage ya uchawa kabisa saa hizi ni KUNGUNI
Kujitoa ufahamu tuu sio wabishi Hawa CHAWA!
Kuna siku mtaamka mtaambiwa ni siku ya wanja au lip balm ya mama hivyo watu wote mnatakiwa mpake hivyo vitu bila kujali jinsia kuna machawa watafanya kama juzi ule ujinga eti chai na vitumbua vya mama.Wapokee sindano,wanawakela hata wavaa kijani wenzako,hamna wingi wa chawa Kumbe ni nilidhani Machawa,CHAWA
Wajinga tuu Hawa hata kama ni mapenzi ya chama!Huu ni unafiki uliopitiliza!Kuna siku mtaamka mtaambiwa ni siku ya wanja au lip balm ya mama hivyo watu wote mnatakiwa mpake hivyo vitu bila kujali jinsia kuna machawa watafanya kama juzi ule ujinga eti chai na vitumbua vya mama.
Huu uchawa wakenya waliufutilia mbali miaka zaidi ya 20 iliyopita maana utawala wa Moi ndio ulijaa siasa za uchawa na kuvipa vitu majina ya rais sasa Tanzania ndio watu wanaishi sasa maisha waliyoishi Kenya miaka 20+ nyuma.Wajinga tuu Hawa hata kama ni mapenzi ya chama!Huu ni unafiki uliopitiliza!
Wanatafuta tuu hela za wananchi,kwa katiba hii ni sawa kapita bila kupingwa,hofu ya Nini smHuu Ndio Uchawa ili Watu washindwe kudai Kodi View attachment 3255833View attachment 3255834View attachment 3255835View attachment 3255837View attachment 3255836
Huyu bibi anaelewa kwamba EL ni marehemu? Huyu si alikuwa chawa wa El au anadhani watu wamesaha?😁😁Hawa watu wamekua kero sana.
View attachment 3255813