Machawa wa Samia mjifunze kwa Machawa wa Rais Hasina wa Bangladesh

Machawa wa Samia mjifunze kwa Machawa wa Rais Hasina wa Bangladesh

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Machawa wa Hasina wa Bangladesh kwa Sasa wanaojua shubiri. Wanaishi maisha ya kujificha na wanawindwa kweli popote walipo. Ila muda wa miezi michache wao ndio walikuwa wababe wa Bangladesh na kuumiza watu waliokuwa wapinzani wa Hasina.

Walihusika kuteka na kupoteza wafuasi wa upinzani nchini Bangladesh. Ila kwa Sasa Hasina kakimbia nchi ya Bangladesh kawaacha machawa wake wamejificha kwa aibu na wengine kujiua kutokana na aibu.

Hivyo basi, kwa Sasa Tanzania Ina machawa wengi wanaojifanya ya kwamba wao ni Bora kuliko raia wengine. Wao ndio wenye haki. Na watakaopotezwa na kutesa wanafanyiwa dhihaka kuwa wamejiteka na hakuna linalofanyika. Ila tujue kwamba siku wananchi wakikasirika na kuwatimua Samia na Chawa wake ndipo Hali halisi ya Hawa machawa itawekwa wazi.

Soma Pia: Wanaomsifia Rais Samia kwa kila kitu na kichekesho kilichoandikwa karibu miaka 80 iliyopita

Niwakumbushe tu. Pale Kenya baada ya Rais Moi kutoka madarakani , machawa wake waliotesa wapinzani waliishi maisha ya hofu na wengine waliishia kufa kwa stroke kutokana na aibu ya mambo waliyoyafanya kipindi Cha Rais Moi.

Hivyo, nyie machawa mnaodhihaki wapinzani au wananchi wanaopatwa na madhara kana kwa nyie ndio raia wa Tanzania na wengine ni wapitaji ipo siku yenu inakuja na ikifika hamtakuwa na usemi zaidi ya aibu na kujificha kwa hofu ya maovu mliowafanyia watanzania wenu ili kumfirahisha Samia
 
Wamekusikia wana kitu cha kujifunza.
 
Machawa wa Hasina wa Bangladesh kwa Sasa wanaojua shubiri. Wanaishi maisha ya kujificha na wanawindwa kweli popote walipo. Ila muda wa miezi michache wao ndio walikuwa wababe wa Bangladesh na kuumiza watu waliokuwa wapinzani wa Hasina.

Walihusika kuteka na kupoteza wafuasi wa upinzani nchini Bangladesh. Ila kwa Sasa Hasina kakimbia nchi ya Bangladesh kawaacha machawa wake wamejificha kwa aibu na wengine kujiua kutokana na aibu.

Hivyo basi, kwa Sasa Tanzania Ina machawa wengi wanaojifanya ya kwamba wao ni Bora kuliko raia wengine. Wao ndio wenye haki. Na watakaopotezwa na kutesa wanafanyiwa dhihaka kuwa wamejiteka na hakuna linalofanyika. Ila tujue kwamba siku wananchi wakikasirika na kuwatimua Samia na Chawa wake ndipo Hali halisi ya Hawa machawa itawekwa wazi.

Soma Pia: Wanaomsifia Rais Samia kwa kila kitu na kichekesho kilichoandikwa karibu miaka 80 iliyopita

Niwakumbushe tu. Pale Kenya baada ya Rais Moi kutoka madarakani , machawa wake waliotesa wapinzani waliishi maisha ya hofu na wengine waliishia kufa kwa stroke kutokana na aibu ya mambo waliyoyafanya kipindi Cha Rais Moi.

Hivyo, nyie machawa mnaodhihaki wapinzani au wananchi wanaopatwa na madhara kana kwa nyie ndio raia wa Tanzania na wengine ni wapitaji ipo siku yenu inakuja na ikifika hamtakuwa na usemi zaidi ya aibu na kujificha kwa hofu ya maovu mliowafanyia watanzania wenu ili kumfirahisha Samia
Ungekuwa unatutajia na hao machawa wa Moi waliokufa au kukamatwa tungeelewa kweli! Halafu ngoja nikuulize, nitajie Kiongozi mmoja tu duniani ambaye HANA CHAWA! Na kisha utuelezee ya kwamba unawezaje kuwa Kiongozi bila ya kuwa na chawa?
Unafikiri wale waliokwenda kumtamfuta na kumlazimisha Muhammad Yunus kuwa Rais wa Muda wa Bangladesh sio CHAWA!? Ahahahahaha!!!
 
Machawa wa Hasina wa Bangladesh kwa Sasa wanaojua shubiri. Wanaishi maisha ya kujificha na wanawindwa kweli popote walipo. Ila muda wa miezi michache wao ndio walikuwa wababe wa Bangladesh na kuumiza watu waliokuwa wapinzani wa Hasina.

Walihusika kuteka na kupoteza wafuasi wa upinzani nchini Bangladesh. Ila kwa Sasa Hasina kakimbia nchi ya Bangladesh kawaacha machawa wake wamejificha kwa aibu na wengine kujiua kutokana na aibu.

Hivyo basi, kwa Sasa Tanzania Ina machawa wengi wanaojifanya ya kwamba wao ni Bora kuliko raia wengine. Wao ndio wenye haki. Na watakaopotezwa na kutesa wanafanyiwa dhihaka kuwa wamejiteka na hakuna linalofanyika. Ila tujue kwamba siku wananchi wakikasirika na kuwatimua Samia na Chawa wake ndipo Hali halisi ya Hawa machawa itawekwa wazi.

Soma Pia: Wanaomsifia Rais Samia kwa kila kitu na kichekesho kilichoandikwa karibu miaka 80 iliyopita

Niwakumbushe tu. Pale Kenya baada ya Rais Moi kutoka madarakani , machawa wake waliotesa wapinzani waliishi maisha ya hofu na wengine waliishia kufa kwa stroke kutokana na aibu ya mambo waliyoyafanya kipindi Cha Rais Moi.

Hivyo, nyie machawa mnaodhihaki wapinzani au wananchi wanaopatwa na madhara kana kwa nyie ndio raia wa Tanzania na wengine ni wapitaji ipo siku yenu inakuja na ikifika hamtakuwa na usemi zaidi ya aibu na kujificha kwa hofu ya maovu mliowafanyia watanzania wenu ili kumfirahisha Samia
Hata sijasoma 🚮🚮🚮🚮
 
Ungekuwa unatutajia na hao machawa wa Moi waliokufa au kukamatwa tungeelewa kweli! Halafu ngoja nikuulize, nitajie Kiongozi mmoja tu duniani ambaye HANA CHAWA! Na kisha utuelezee ya kwamba unawezaje kuwa Kiongozi bila ya kuwa na chawa?
Unafikiri wale waliokwenda kumtamfuta na kumlazimisha Muhammad Yunus kuwa Rais wa Muda wa Bangladesh sio CHAWA!? Ahahahahaha!!!
Mwafrika hana na hajawahi kuwa na akili hata siku moja. Somo la historia halijawahi kuwa fundisho kwa mwafrika ndo maana anaweza sombwa na mafuriko na baada ya mvua akarudi kujenga pale pale bondeni labda ahamishwe kinguvu.

Ubongo wako umejaa usaha na kutu si rahisi kufundishika katika mazingira haya.
 
Mwafrika hana na hajawahi kuwa na akili hata siku moja. Somo la historia halijawahi kuwa fundisho kwa mwafrika ndo maana anaweza sombwa na mafuriko na baada ya mvua akarudi kujenga pale pale bondeni labda ahamishwe kinguvu.

Ubongo wako umejaa usaha na kutu si rahisi kufundishika katika mazingira haya.
Sijui wewe akili zako ni za aina gani! Nimeuliza badala ya kunijibu kwa hoja unaloloma tu! KUMBAVU!!!
 
Ungekuwa unatutajia na hao machawa wa Moi waliokufa au kukamatwa tungeelewa kweli! Halafu ngoja nikuulize, nitajie Kiongozi mmoja tu duniani ambaye HANA CHAWA! Na kisha utuelezee ya kwamba unawezaje kuwa Kiongozi bila ya kuwa na chawa?
Unafikiri wale waliokwenda kumtamfuta na kumlazimisha Muhammad Yunus kuwa Rais wa Muda wa Bangladesh sio CHAWA!? Ahahahahaha!!!
Tafuta kwanza maana ya neno machawa, kisha utofautishe na neno wafuasi.
 
Tafuta kwanza maana ya neno machawa, kisha utofautishe na neno wafuasi.
Ahahahahaha! Kamusi ya Kiswahili HAINA tafsiri ya neno chawa kwa mukhtadha tunaoongelea. By the way, wanasiasa wana wafuasi au chawa!? Ahahahahaha!
 
Mwafrika hana na hajawahi kuwa na akili hata siku moja. Somo la historia halijawahi kuwa fundisho kwa mwafrika ndo maana anaweza sombwa na mafuriko na baada ya mvua akarudi kujenga pale pale bondeni labda ahamishwe kinguvu.

Ubongo wako umejaa usaha na kutu si rahisi kufundishika katika mazingira haya.
Pengine ndiye chawa mwenyewe! Ni hatari sana kuwa chawa wa mtu!!! Ni dalili ya kuwa uwezo wa kufikiri umeisha kabisa! Sioni tofauti yake na mtu aliyekufa! Wanisamehe machawa, lakini ukweli ndio huo!!
 
Back
Top Bottom