Desperado, ya antonio banderas na salma hayekKuna movie fulani ya kitambo jamaa anatembea na guitar ndani ni machine gun ya ki mexico
Yes!!!
Kuna movie flani hivi inaitwa Machete ya kitambo kidogo ilikuwa ni noma,
Kuna Mjuba Usoni ana Ngeu kinoma sio Ngeu tu ni Ngeu zilizotokana na michanjo ya Visu, ndio wa Kumwita Machete,Ana Roho Ngumu kuliko ata Ugumu wa roho yenyewe.
Kitaani kwetu kipindi kile tukimuona mtu ana sura Ngumu lazima tumuite Machete.
Je unamkumbuka huyo mjuba? Je Unakumbuka tukio gani la kikatili alilolifanya kwenye moja scene ya filamu hiyo.
Salma Hayek ni shida yule mrembo.
duuhalimla mke na mtoto wa jambazi
si kweliDany Trejo,,Jamaa ni Chalii wa Chuga uyo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Salma Hayek ni shida yule mrembo.
Zama za ubarubaru wangu nilimtumia sana kwa bafu!!.