Katiba inawatambua? Machifu?Chifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719
Katiba ya nchi inawatambua Hawa watu?Chifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719
Kijijini kwetu Kuna mmoja anajiita chief ni mganga wa kienyejiWaambie machifu wako ndio waache ukabila🐼
Mimi tena?Waambie machifu wako ndio waache ukabila🐼
Hii ndio njia rahisi ya kuyapaisha maandamano , safi sana Mwashinga kwa kutoa tuhuma ambazo hazipo ili kupaisha maandamano , njia bora sanaChifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719
Hakika wao wanachojua ni kupika kindiWasafwa wanatawaliwa na Wanyakyusa 😂🔥
Machifu wameenezewa na mwenezi 😁Hii ndio njia rahisi ya kuyapaisha maandamano , safi sana Mwashinga kwa kutoa tuhuma ambazo hazipo ili kupaisha maandamano , njia bora sana
Machifu njaa ...Mbeya haina machifu wa mchongo wanao endekeza Marumbio wadwanzi tu.na wajingaChifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719
Himaya yake?....khe!Chifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719
Chifu gani mchafu hivyo!Chifu wa kabila la Wasafwa jijini Mbeya Chifu Rocket Mwashinga amesema anashangaa kusikia kwenye vyombo vya habari maneno yanazungumzwa kwamba machifu wa mbeya wameungana na msafara wa maandamano ya Chadema. "Ni kitu cha kushangaza kama mimi ndio mkuu sasa nashangaa huyo Chifu aliyezungumza ni nani wala katika himaya yangu hayupo".
View attachment 2907719