Machifu wa zamani wakisaini mikataba wasiyoijua

Machifu wa zamani wakisaini mikataba wasiyoijua

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,192
Reaction score
11,897
Machifu wetu wa sasa hivi wanakitu cha kujifunza.
FB_IMG_16886493046122556.jpg
 
mabosi wa Carl Peter,Wajerumani wangemmaliza Tundu lisu alafu kichwa wangekipeleka ulaya kwa sababu hawawapendi watu wanaojitambua.
Kwahiyo unasema Chifu Manguno alikuwa hana namna inamaana angekomaa angeuwawa?

Kwahiyo je tuache kumlaumu?
 
Kwahiyo unasema Chifu Manguno alikuwa hana namna inamaana angekomaa angeuwawa?

Kwahiyo je tuache kumlaumu?
Ndiyo, kwanza walikuwa hawana Elimu na pia walikuwa wanapewa vitisho.
 
Halooo kwa hiyo kati ya chief mkwawa na chief godlove bora mkwawa.
 
Back
Top Bottom