passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Machifu wetu wa sasa hivi wanakitu cha kujifunza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hakika ulitaka kusema chief meka!? Au ni uoga wako tuChief meka
Huyo ndo chifu wa maana sasa.Chifu Mkwawa aliwatwanga Wajerumani!
mabosi wa Carl Peter,Wajerumani wangemmaliza Tundu lisu alafu kichwa wangekipeleka ulaya kwa sababu hawawapendi watu wanaojitambua.Hivi Carl Peters angekutana na Tundu Lissu sijui ingekuwaje?
Pangewaka motoHivi Carl Peters angekutana na Tundu Lissu sijui ingekuwaje?
Alifanyaje ?View attachment 2680236
huyu ndio alikua mjanja peke yake
Kwahiyo unasema Chifu Manguno alikuwa hana namna inamaana angekomaa angeuwawa?mabosi wa Carl Peter,Wajerumani wangemmaliza Tundu lisu alafu kichwa wangekipeleka ulaya kwa sababu hawawapendi watu wanaojitambua.
Ndiyo, kwanza walikuwa hawana Elimu na pia walikuwa wanapewa vitisho.Kwahiyo unasema Chifu Manguno alikuwa hana namna inamaana angekomaa angeuwawa?
Kwahiyo je tuache kumlaumu?
Haswa walikuwa wakipewa vijizawadi ushanga,gobole,kiberiti tumbaku ya mkebe na baruti nk.wanapewa vitisho
collaboration na huu ndio uwekezaji wenyewe sasaAlifanyaje ?
Chief akisaini mkataba huku akiwaeleza subject wakeMachifu wetu wa sasa hivi wanakitu cha kujifunza.View attachment 2680223
Uwekezaji uendane na mikataba mizuricollaboration na huu ndio uwekezaji wenyewe sasa