Machimbo ya chuma ludewa. Connections please!

Nyamgluu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
3,160
Reaction score
1,726
Wakuu naomba connections za wachimbaji wadogo kule ludewa. Kuna wawekezaji wanataka kuja kuwekeza nahitaji kuwaunganisha.
 
Navyojua mimi hamna chuma Ludewa ambacho kiko idle and available kwa ajili ya wawekezaji wengine other than Portion aliyopewa MMI (Shubash Patel) na kiasi kilichobaki kipo kwa ajili ya NDC na wawekezaji ambao wamesha kuwa identified. Unaweza tafutiwa chuma kutoka maeneo mengine ya Tanzania. 0655 222588
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…