INAUZWA Machine ya kuziba pancha na kujaza upepo kwa dharura

"One time use".. sijaelewa hii lugha mkuu. Samahani lakini.
 
"One time use".. sijaelewa hii lugha mkuu. Samahani lakini.
Anamanisha huwezi kuitumia zaidi ya mara moja.Ukipata pancha unaitumia hapohapo njiani au porini unaitupa.Haina kazi tena. Yaani ni kama vocha haitumiki mara mbili.
 
Ninauza mashine ya kuziba pancha na kujaza upepo bila kuhusa tyre. Serious buyers inbox me
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…