Njia kuu ya kuondoa sumu mwilini ni mboga mbichi mchanganyiko SALAD:
Hakikisha unapata mchanganyiko wa mboga mbichi zifuatazo:
Koliflawa kipande kidogo, mchicha kiasi, kabeji kidogo, mdalasini 1/4 kijiko kidogo, kitunguu maji kidogo, kitunguu saumu punje tatu, spinach kiasi nyanya moja itolewe mbegu si kiini chake na mboga zinginezo ukipenda unaweza kuongezea. safisha vizuri mboga hizo na uzikatekate weka chumvi 1/8 ya kijiko kidogo (cha chai) changanya chumvi hiyo mpaka ichanganyike vema na mboga zako. subiri kwa robo saa, kamulia limau au jamii yake na kisha kula.
Ni vema kula kachumbari hiyo kila baada ya mlo wako wa usiku. unaweza kunywa pia glasi ya maziwa moto yaliotiwa asali si sukari.
HAKIKISHA UNAPATA VITU HALISI.
Namaanisha mboga zisiwe na sumu au zilizorutubishwa.