Kiteitei JF-Expert Member Joined Jan 14, 2009 Posts 1,595 Reaction score 1,540 Jun 9, 2014 #101 Khaaa!!! Mkuu kama hiyo ni sumu basi uking'ata nyoka lazima afe!!hivi kabla ya kutoa hiyo sumu mbu walikuwa wanathubutu kukusogelea kweli!!!???
Khaaa!!! Mkuu kama hiyo ni sumu basi uking'ata nyoka lazima afe!!hivi kabla ya kutoa hiyo sumu mbu walikuwa wanathubutu kukusogelea kweli!!!???
D daniel kalasha JF-Expert Member Joined Oct 5, 2013 Posts 548 Reaction score 72 Jun 9, 2014 #102 malazi mengine ya kujitakia
Lekolele New Member Joined Sep 12, 2016 Posts 2 Reaction score 0 Sep 13, 2016 #103 Habar wanandg hiv kunayo kifaa ambacho kinatoa sumu mwilini na inaitwaje
Vupu JF-Expert Member Joined Aug 1, 2016 Posts 1,769 Reaction score 1,248 Sep 14, 2016 #104 Mamndenyi said: Haya soma hapa (1) Tumia sana juisi ya rozella (2) Tumia sana asali (3) Tumia sana mdalasini (4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa. Nawasilisha. Click to expand... Safi
Mamndenyi said: Haya soma hapa (1) Tumia sana juisi ya rozella (2) Tumia sana asali (3) Tumia sana mdalasini (4) Tumia sana kitunguu saumu kilichosangwa. Nawasilisha. Click to expand... Safi