Machine za Maximalipo

OTL

Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
39
Reaction score
3
Habari wanajamvi.
Naomba msaada anayejua contact za maxmalipo au walipo. Na namna ya kuweza kupata machine zao.
Asante
 
Wapo makumbusho kwenye ktk mojawapo ya zile gorofa mpya pale kituoni,nenda na laki tisa yao mkuu
 
Wapo makumbusho ktk mojawapo ya zile gorofa mpya pale kituoni,nenda na laki tisa yao mkuu
 
Reactions: OTL
Asanteni wadau. Ipi ni bei halis laki tisa au tano? Naomba msaad ili niende nikiwa kamili.
 
Habari wanajamvi.
Naomba msaada anayejua contact za maxmalipo au walipo. Na namna ya kuweza kupata machine zao.
Asante


Wapo Millenium Tower Makumbusho nadhani ghorofa ya pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…