John Walter
Member
- Aug 14, 2017
- 68
- 63
Wamachinga mjini Babati wamemuomba Mheshiwa Rais Magufuli kuwasaidia wafanye biashara zao kwa uhuru baada ya kudai kuwa wananyanyasika kwa kufukuzwa katika maeneo yao ya biashara huku wakirejea kauli ya Rais kuwa wamachinga wasibuguziwe.
Wamachinga hao ni wale wanaopanga bidhaa zao chini na wanaozungusha kupitia mikokoteni.
Wamachinga hao ni wale wanaopanga bidhaa zao chini na wanaozungusha kupitia mikokoteni.