Tena nampigia simu nw nw afungue Jamii acheck maana alitakiwa awe na Picha hizi Pia ila kiukwelii Serikali yetu imetupoteza kabisa na neno Privatization yaani walituingiza mjini na ndio Maana Mwl.Nyerere alisema nchi changa hizi munaingia kwenye soko hulia maskini kabisa kweli mataifa makubwa yanaingia kwenye ushindani wa soko huria na mataifa makubwa ndio hii sasa inaingia kwa mtindo wake