Machinjio ya Vingunguti Dar es Salaam watu wanajisaidia ovyo, Serikali litazameni

Machinjio ya Vingunguti Dar es Salaam watu wanajisaidia ovyo, Serikali litazameni

Nassibuabdul

New Member
Joined
Apr 16, 2023
Posts
3
Reaction score
3
VINGUNGUTI -DAR MACHINJIO MACHAFU
KULIKO YOTE TANZANIA

Machinjio hayana vyoo, serikali naomba mkalitizame ili maana
machinjio ni achafu kuliko kawaida.

Uchafuzi wa mazingira, watu wanakojoa ovyo pamoja na kujisaidia ovyo.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-12-28-22-32-39_com.whatsapp_1703792019889.jpg
    Screenshot_2023-12-28-22-32-39_com.whatsapp_1703792019889.jpg
    31.9 KB · Views: 7
Wamekusikia wahusika,huko ndiko namna pia ya kutekeleza imani ya chama.
 
Yale machinjio ili yafanikiwe wanatakiwa waondoe watu wote wanaozunguka pale.
 
Back
Top Bottom