Machizi wanapenda kuja kwangu

🤣🤣🤣🤣
Chizi weh
 
Sina la kusema ila sali sana ndugu.. Yani we sali mno usichoke we sali tu maana haujui siku wala saa watakapoamua kutimiza azima Yao!
😂😂😂😂
 
mkuu hivi sio ww uliekulaga chizi kimasihara kwenye uzi wa rikiboy??
 
Kuna member mwenzetu maarufu sana bado hajakufuata PM
 
Sina la kusema ila sali sana ndugu.. Yani we sali mno usichoke we sali tu maana haujui siku wala saa watakapoamua kutimiza azima Yao!
Natumai hamjambo wakuu.

Mara kwa mara machizi wamekua wanakuja kwangu, sasa nachojiuliza wakuu kutembelewa na machizi kuna ashiria jambo baya au ni hali ya kawaida?

Karibuni kwa michango yenu na ushauri pia.
Machizi washkaji au vichaa
 
Kweli kuna msemo unaosema ndege wafananao ndo uruka pamoja, sasa kwa hali yako sitaki kusema kwamba nawe ni chizi mwenzao ila naomba kuuliza iwapo ni kweli wanakufuata, ni kwanini wanafanya hivyo? Na katika mazingira gani? Kwa wakati husika. Iwapo unaweza naomba nijibu hapo ndo utaweza kupata tafsiri sahihi ya huo mchezo wao. Anza kujichunguza bro kama hamna wema unaowafanyia kwa kujua au kutokujua anza kujichunguza lazima kuna kasoro sehemu ingawa nao ni binaadamu na wana haki ya kua huru katika maisha haya.
 
mara nyingi nikirudi jioni wife hunambia wamepita, mda mwingine huomba chakula na mda mwingine huomba maji nakuondoka, kuna mara chache huwa wananikuta home hasa siku za wikend
 
Kwanza tufahamishs jinsia ya hao machizi wanakufata.
 
mara nyingi nikirudi jioni wife hunambia wamepita, mda mwingine huomba chakula na mda mwingine huomba maji nakuondoka, kuna mara chache huwa wananikuta home hasa siku za wikend
Mkuu sio wewe mwenye tatizo ila kuna mazingira hapo kwako ambayo imewafanya wajihisi salama pia umesema hua shemeji anawapatia chochote kitu kwa matumbo yao, sasa kumbuka nao ni wanadàmu ña wana hisia kama sie tofauti ni utendaji wao tu wa kila siku hivyo kila mwanaadamu ana hisia ya kutaka kupendwa au kuthaminiwa ndo wanachohisi hao jamaa. Nakushauri ongeza umakini ktk usalama wa hapo nyumbani kwani nao huweza kutenda ubaya kulingana na siku yake itakavyokua. Ndo mawazo yangu kulingana na majibu yako ila kama kuna lingine hujasema sababu unaijua ww basi huo ushauri wangu haukufai kabisa mkuu.
 
Machizi nikajua wale wa kijiweni🤦 aisee pole sana kwani ni wakike au wakiume
 
Uliwazowesha toka mwanzo nakuwachukulia poa nao wakaona hiyo sehemu ni salama kwao,
Umefanya vizuri tu,huo ndio ubinaadamu.
 
Natumai hamjambo wakuu.

Mara kwa mara machizi wamekua wanakuja kwangu, sasa nachojiuliza wakuu kutembelewa na machizi kuna ashiria jambo baya au ni hali ya kawaida?

Karibuni kwa michango yenu na ushauri pia.

Una moyo safi
 
Machizi gani? Masela au wendawazimu? Kiswahili kimepanuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…