chuma96 Member Joined Dec 15, 2012 Posts 25 Reaction score 39 May 4, 2019 #1 Habari waungwana nina miaka 23 ninatatizo la macho... siku hiz za karibuni kila nikiamka asubuhi huwa naona ukungu yaan sioni vizuri na nakuta macho yamejaa matongotongo tofauti na hapo nyuma. Je hili ni tatizo gani na nifanyeje?
Habari waungwana nina miaka 23 ninatatizo la macho... siku hiz za karibuni kila nikiamka asubuhi huwa naona ukungu yaan sioni vizuri na nakuta macho yamejaa matongotongo tofauti na hapo nyuma. Je hili ni tatizo gani na nifanyeje?
Papaa Kinyani JF-Expert Member Joined Feb 25, 2013 Posts 1,459 Reaction score 699 May 5, 2019 #2 Nenda hospitali kwanza acha kupiga ramli. Utapofukaaaa