dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,172
- 3,082
Ndugu wana jamvi kwa muda mrefu sasa nimekua na tatizo hili la macho yangu kupiga wekundu ulopindukia jambo linalo niweka katika wakati mgumu kwani baadhi ya wakati nashindwa kujitokeza katika mikusanyiko kwan mara nyingi huwa naulizwa maswal mengi ambayo huwa nakosa majibu. Kibaya zaidi baadhi ya watu kuuhusisha tatizo langu na matumizi ya madawa ya kulevya kitu ambacho sijawah kutumia. Jee hili nitatizo gn? na ni nini chanzo chake kitaalamu! Na tiba yake ni ipi?.