Aisee nenda hospital nzuri, nilikuwa na matatizo kama yako lakini Mimi yalisababishwa na mwanga mkali wakati wote nilipokuwa shule chumba chetu kilikuwa na matatizo ya bulb tukichelewa kuwasha ila taa haiwaki solution ni kuacha ile taa iwe on masaa yote week mpaka mwenzi nzima. wakati wa mchana nikiangalia mbele siona kitu mpka MTU anikaribie Jiran ndo namuona. nilopo enda hospital wakanipima wakanipa dawa ya vitamin B nitumia baada ya 2week nirudi tena. Baada ya kupona kwa kutumia zile dawa sikurudi tena hospital ndo tabia za mwafrica. wahi mapema kwa kuwa macho yana stage unapozidi kuchelewa utakuta mewani inakusubili.