Macho ya paka

Macho ya paka

SNAP J

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
7,106
Reaction score
8,043
Sio tu wazungu peke yao ndio wanayo, la.


Najivunia kuwa mtu mweusi.

Asante Mungu kwa kuniumba mwafrika.



0e662e4b2ee2e35a2559525608ebbb7b.jpg
e8758329c9a7799efe07eeed943cc384.jpg
d9626f1c2afcce9c8a537cc665e0e282.jpg
7ad9bfa693d2ef8a0086cd383c4be36c.jpg
0e085acaa3863cc5c663084f494889ac.jpg
ee174e256a586819cb363231c2090671.jpg
e1a29fe87ad3b20aef2afcbc953b3ed9.jpg
6dd88ede0ffa1938980dd23c615f90ab.jpg
e360b3f3283cb2fd12713ef372fa1415.jpg
c3437d4f5ab2930b43feae8fc5e0782a.jpg
bc9b6d8a12efcb90be52998d44bcf681.jpg
 
Afu muhu hayupo uyo mungu yupi adiyeonekana mnaabudu kitu kisicho na uwepo??
 
Kwamba natakiwa kuamini na picha za kuedit?
Mkuu, ina maana ktk maisha yako hujawahi hata kukutana mtaani na na mweusi mwenye macho hayo!?
 
Mkuu, ina maana ktk maisha yako hujawahi hata kukutana mtaani na na mweusi mwenye macho hayo!?
Binafsi yangu mimi na dada yangu tuna macho ya paka..

nilivyoona uzi nimekimbilia, nilijua kuna elimu ya ziada
 
Binafsi yangu mimi na dada yangu tuna macho ya paka..

nilivyoona uzi nimekimbilia, nilijua kuna elimu ya ziada
Hongereni mkuu. Hizo genes ni nadra sana ktk jamii. Kati ya watu 50,000 mtu mmoja ndio anaweza kuwa na macho hayo.
 
Back
Top Bottom