Changamoto ndio hzo na uchawi nao upo tena sana tu,wee ulitaka tumperembe perembe mleta uzi.Wakati tunasoma biashara vyuoni maprofessa walitufundisha tu biashara ila ukija field ndio unagudua kwamba hata professor wako aliyekufundisha biashara hakuwa mfanya biashara so kuna mengi hakukufundisha.
Cha ajabu huku wanaotufundisha hizo research hawajawahi kufanya application yake huku mtaani zaidi ya wao kukariri tu.Kwenye research kuna kitu kinaitwa Research Problem nia kubwa ya Research problem ni kujaribu kuangalia ni vitu gani ama matatizo gani yanaleta changamoto mpaka Research ihitajike sasa basi ni bora kuanisha changamoto ni zipi na njia ya kupambana nazo.
Wacha kuwa na wivu kama Mama yako nyangau wewe....Research zinafanyika na majibu yanapatikana usiwe na akili hasiCha ajabu huku wanaotufundisha hizo research hawajawahi kufanya application yake huku mtaani zaidi ya wao kukariri tu.
Wakuu nipo Dar na kwa kweli nimeshuhudia mengi ambayo kiukweli ni fursa kubwa ya kupata pesa.
Kwa mfano nimeshuhudia Dar viazi mviringo vitatu tu tena vya ukubwa wa kawaida kabisa vikiuzwa kwa shiling 500.
Sado moja la viazi mviringo likiuzwa hadi shilingo 4000. Hapa mtu ukiwa Mbeya ambapo gunia la viazi lenye debe 6 mpaka nane unaweza ukalinunua kwa shiling elfu 40-50 . Ushuru ni 500 kwa kila gunia na usafiri ni kati ya 7,000 -10,000 kwa gunia mpaka Dar.
Kama unachukua gunia 20 ina maana utagharamia 1,200,000 maximum mpaka mzingo unaingia sokoni. tufanye umeamua kujumlisha kwa elfu 75-85 kwa gunia maana yake unakusanya 1,5000,000 Mpaka 1,850,000 kwa mzigo wote. Hapo hukosi faida ya 300,000.
Kuna fursa nyingine ya mchele kutoka Mbeya ambapo mchele super kabisa nimeona ukiuzwa kwa kilo shilingi 2,700 wakati Mbeya mchele grade hiyo hiyo ni 32,000 -34,000 kwa kilo 20. Sasa tufanye unachukua mfuko wa kilo 100 kwa shiling 160,000 - 170,000.
Unachukua tani 1 tu za mchele ambapo ni kwa gharama ya 1,600,000 mpaka 1,700,000
Nauli kwa mfuko wa kilo 100 ni 7,000 mpaka Dar jumla unalipia elfu 70 tani moja. ushuru tufanye elfu 10 tani moja au elfu 20 pamoja na kupakia elfu 10 pia na kushusha 10. jumla.
Ukifika Dar utajumlisha kilo 20 kwa elfu 42 mpaka 44. kwa mfuko wote unapata 210,000 mpaka 220,000 una viroba kumi maana yake unapata 2,200,000 au 2,100,000. Ukitoa gharama zote unapata faida angalau 350,000 mpaka 400,000
Mwenye uzoefu na biashara hizi anisahihishe.
Aisee! mwezi ulopita nlipeleka mitumba yangu mnadani siku ya kwanza niliuza balaa nikasema biashara c ndo hii, sasa minada ilofuatia ilikua kuipata elf 30 ni ndoto ya alinacha, kuna mdada akanitonya huku kuna ushirikina balaa we umekujaje? Looh nikaamua nibebe mizigo yangu kuirudisha nyumbani hapa naumiza kichwa pa kuipeleka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mkaruka
Jamaa yako ilitakiwa atumie mbinu za kijasusi, angeenda Moro akanunua mbuzi wanne then akaenda nao pugu (hao mbuzi ni sample ya kupata detail jinsi biashara inavyofanyika) then akajifanya anawauza (hapo ni Aidha apate faida au loss), angeusoma vizuri mchezo kama ni mjanja angepata na connection kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Kama Kilimo Cha PDF Vile Yaani Kila Kitu Soft Ukianza Biashara Unajikuta Unadaiwa Badala Ya Faida YoyoteRahisi eee
MkuuNchi hii biashara ya mazao ya kilimo ni pasua kichwa Sana.
Bora uwe dalali wake
Hebu jaribu kiongozi halafu ulete mrejesho hapaWakuu nipo Dar na kwa kweli nimeshuhudia mengi ambayo kiukweli ni fursa kubwa ya kupata pesa.
Kwa mfano nimeshuhudia Dar viazi mviringo vitatu tu tena vya ukubwa wa kawaida kabisa vikiuzwa kwa shiling 500.
Sado moja la viazi mviringo likiuzwa hadi shilingo 4000. Hapa mtu ukiwa Mbeya ambapo gunia la viazi lenye debe 6 mpaka nane unaweza ukalinunua kwa shiling elfu 40-50 . Ushuru ni 500 kwa kila gunia na usafiri ni kati ya 7,000 -10,000 kwa gunia mpaka Dar.
Kama unachukua gunia 20 ina maana utagharamia 1,200,000 maximum mpaka mzingo unaingia sokoni. tufanye umeamua kujumlisha kwa elfu 75-85 kwa gunia maana yake unakusanya 1,5000,000 Mpaka 1,850,000 kwa mzigo wote. Hapo hukosi faida ya 300,000.
Kuna fursa nyingine ya mchele kutoka Mbeya ambapo mchele super kabisa nimeona ukiuzwa kwa kilo shilingi 2,700 wakati Mbeya mchele grade hiyo hiyo ni 32,000 -34,000 kwa kilo 20. Sasa tufanye unachukua mfuko wa kilo 100 kwa shiling 160,000 - 170,000.
Unachukua tani 1 tu za mchele ambapo ni kwa gharama ya 1,600,000 mpaka 1,700,000
Nauli kwa mfuko wa kilo 100 ni 7,000 mpaka Dar jumla unalipia elfu 70 tani moja. ushuru tufanye elfu 10 tani moja au elfu 20 pamoja na kupakia elfu 10 pia na kushusha 10. jumla.
Ukifika Dar utajumlisha kilo 20 kwa elfu 42 mpaka 44. kwa mfuko wote unapata 210,000 mpaka 220,000 una viroba kumi maana yake unapata 2,200,000 au 2,100,000. Ukitoa gharama zote unapata faida angalau 350,000 mpaka 400,000
Mwenye uzoefu na biashara hizi anisahihishe.
Basi Niko mgeni kwenye biashara ya ng'ombe,nikasema nianze na ng'ombe mmoja tu,nikila hasara sirudi.Huwezi mkwepa dalali mkuu...wana techniques kama zote
Basi Niko mgeni kwenye biashara ya ng'ombe,nikasema nianze na ng'ombe mmoja tu,nikila hasara sirudi.
Basi nikanunua ng'ombe mmoja mdogomdogo wanaita kadogosa,,maana ya haraka haraka Ni ng'ombe mbinti hajazaa,
Nikanunua 250,000,
Baada ya Hapo unakabidhi mswagaji,,unakua huamini amini maana unampa bila documents zozote,lakini Hawa waswagaji Ni waamunifu Sana,
Nikamwambia peleka mnada fulani,,unaofuata,lengo nikamuuze kea faida ili nione tu biashara inavyoenda,
Waswagaji Hawa hutembea usiku kucha,
Baada ya kumpa mswagaji napanda usafiri kurudi town,kesho yake naibukia mnada unaofuata,ng'ombe kishafika,namlipa mswagaji buku mbili yake,ng'ombe Nampa dalali auze kwa 350,000,
Hadi mnada unakufa ng'0mbe hajauzwa,kumbe dalali anapandisha Bei auze 370000,apate 20,000 Cha juu,
Ng'ombe kakosa mteja,natafuta mswagaji Tena namkabidhi ng'ombe apeleke mnada mwingine,ila Sasa mchezo nimeanza kuusoma
Kesho yake naibukia mnadani mapema,mida ya saa nne,ng'ombe wangu kishafika,,Sasa naona nijaribu kumuuza mwenyewe sihitaji dalali,
Kukukuruka huku na huku mi bado mgeni na ng'ombe sijawasoma naona wote Kama wanafanana tu,Ina maana ukizubaa ng'0mbe akajichanganya naweza poteza,isiwe tabu,namkabidhi dalali auze kwa 280,000,halafu nasimama kwa mbali nikifuatilia,kila nikimuuliza vipi umeuza,anasema jamaa wanadai niuze 230,000,
Wakati nimemnunua 250,000,
Baadae namfuata mteja mmoja aliekuwa akiongea na dalali na kumuuliza,kwani huyo ng'ombe dalali kakuambia Bei gani,anadai dalali kamwambia 300,000,
Namwuulizia una ngapi?,
Anadai Ana 270,000.
Naenda kumnyang'anya ng'ombe dalali baada ya kuchukua 270,000,
Dalali kafume but at least nimeuza kea faida ndogo na nimeshajua mchongo wote
Mswagaji anakua anaswaga ng'0mbe wengi,let say 50-60,kwahiyo kwa siku moja anaweza ingiza 100,000.Dah inakera balaa...duh mswagaji 2000?cheap...! Sasa hao madalali wamejaa sana kweny zao la karanga..karanga unamuuza 2700yy anauza 3200 zile nyekundu ...kero sana
Mswagaji anakua anaswaga ng'0mbe wengi,let say 50-60,kwahiyo kwa siku moja anaweza ingiza 100,000.
Zamani niliijua ukinunua unaswaga mwenyewe mguu kwa mguu,kumbe Kuna maspecialist wa kazi hiyo,wewe unanunua na kukabidhi na kudirect tu peleka sehemu fulani na wanajua kila mnada wa wilaya husika Ama kila zizi,,maana wafugaji wa ng'0mbe za kuuza Mara nyingi wanakuwa sehemu mbili tatu maalumu
Kitu nilijifunza,mnadani wengine wanauza bila dalali,uzuri wa biashara ya ng'ombe hutafuti mteja,Bali mteja ndo anatafuta ng'ombe atakamridhisha,so ni suala la kwenda unasimama na ng'ombe wako mnadani,wateja wanakuja kuuliza na mnaanza ku negotiate,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣! Hongera uliweza..nxt tym unaweza kataliwa kuuza ng'ombe wako