Macho yako yanaona kama mimi? Mimi naona kama DSM fursa za kupiga pesa ni nje nje


Doh! Sitakaa kukwepa jua aisee.....maana dalali akipga cha juu kama 20 ni kikubwa sana!hivi kuwa na bucha na kuuza hivyo mnadai kipi kinafaida zaidi
 
mvuv

Mkuu naomba fanya risechi ya kutosha ,,umeandika mchele dar ni 2700 hyo bei ipo dar maeneo gan?* nmetembea masoko ya ilala,tandika,tandale nmekutana na mchele mpaka wa 1500
Mm nanunua mchele max 2200..,hiyo 2700 labda wale mafisadi
 
..Hesabu zako zimekaa vyema kabisa Mkuu.
Kwenye Karatasi ama kwenye Ukurasa wa JF.
Sasa jaribu kwa hali halisi ukumbane na changamoto na risk mbali mbali ambazo naona hujaziwekea japo Kafungu ka dharura hapo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli mjini shulee...madalali wanaishi kupitia migongo ya watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doh! Sitakaa kukwepa jua aisee.....maana dalali akipga cha juu kama 20 ni kikubwa sana!hivi kuwa na bucha na kuuza hivyo mnadai kipi kinafaida zaidi
Bucha labda uchinje machinjioni uuze jumla,bucha sikuhiz wanalaza nyama,vijiwe vingi vya mishikaki,nyama choma vimefungwa,hata majiko mengi ya bars hayaoperate.
Kuuza ng'ombe Kama una mtaji inalipa na mzigo hauozi,unaingiza mfano mnadani ng'ombe watano,unauza watatu hao wengine unahamanao mnada wa kesho yake unauza profit inategemea ukubwa wa ng'ombe margin 20,000-50,000 minimum
 


Ni faida nzuri...kila la heri..kweli bucha nyingi zinasuasua
 
HAHAHAH NOT SUCH EASY MR.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah nimesomaaaa nimeishia kitikisa kichwa. Kufilisika kwangu kwa mara ya kwanza kabisa sh 4mil kulitokana na hesabu za sampluli hii
 

20,000-50,000 profit/cow?

Daah No longer at ease.
 
Ina maana mzigo huo viazi havitaharibika hata kidogo wala wapakiaji na washushaji wa mizigo hawatakudai chochote wala hutakutana na madalali wala hutalipia... nk

Usijidanganye...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…